Recent content by Sun Zu

  1. Sun Zu

    Naulizia machinjio ya kitimoto Jijini Dar es Salaam

    Yeah tunachinjaga mara Moja Moja msikitini
  2. Sun Zu

    Baadhi ya members tusipende kuwa shambulia wanahitaji msaada wetu

    Taratibu taratibu Kila mtu atachanganyikiwa kwa muda wake 😂
  3. Sun Zu

    Nikiwa kwenye maandalizi ya tendo, manii zinatoka na hamu ya kuendelea na tendo inakata kabisa

    Ewaaaaa,! Akifika paka mafuta ya Nazi piga show, foreplay itampotezea muda
  4. Sun Zu

    Sunda, tajiri wa madini pale Mererani yuko wapi siku hizi?

    Dah umenikumbusha rafiki yangu Max Vivian Fo kipindi hicho 😀
  5. Sun Zu

    Lyimo: Huwezi kuwa tajiri kwa kulima dawa za kulevya

    Ruba 1 ya mrungi Daslam ni shillingi 50, gunia 1 la mahindi Daslam ni shillingi elfu 60. Ruba 1 unaiweka ndani ya mfuko wa jeans. Debe 1 la bangi Daslam ni shillingi laki 2. Debe 1 la mahindi Daslam ni shillingi elfu12. Hata sijui kwanini naotaga ndoto mbaya hivi, God forbid
  6. Sun Zu

    Tukio la ajabu Kwa Mtogole linaninyima usingizi

    Mkuu umemuachia nani tunguri? Unaonaje ukanirithisha
  7. Sun Zu

    Sidhani kama kuna nchi Afrika inaizidi Afrika ya kusini kwa wadada wenye makalio makubwa.

    Kuna nchi inaitwa MBEYA, ushawahi kufika mkuu? Yale makalio ya wanawake wa kule unaweza lipia deni la taifa
  8. Sun Zu

    Tundu Lissu aanza kuwaaga wanachama na wafuasi wake kwa huzuni na hisia sana. Je, ameshajua mwisho wa kesi yake na haki yake anayostahili?

    ID 20 zinaandika Uzi na kuchangia kwa mtindo wa kujijibu. Unajitekenya na kucheka mwenyewe
Back
Top Bottom