Tukio la ajabu Kwa Mtogole linaninyima usingizi

Tukio la ajabu Kwa Mtogole linaninyima usingizi

Mkuu, ukiwa unajua Siri nyingi za huo upande inasemwa lazima wajitahidi wakuzime kama kibatariii vipi upande wako hukupataga CHANGAMOTO zozotee ilipo amua kuachana na ulozii
Niko kwenye mikono salama ya wokovu.. Wigo mnene wa damu takatifu isiyo na mawaa ya Yesu Kristo inaninda vilivyo mkuu🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Nilitoka Posta kwenye mishe zangu nikawa naelekea Sinza.. Na njia ambayo ingenifikisha kwa urahisi ni kupitia pale Magomeni Morroco then Tandale

Basi nikachukua njia hiyo, Ukiingia hiyo njia kwa mbele kuna shule ya msingi upande wa kushoto na mbele kulia kwenye kona kuna makaburi

Pembezoni mwa makaburi kuna njia inaingia mtaani.. Basi ikatoka Nissan Patrol damu ya mzee toka njia hiyo ya makaburini.. Kwa namna dereva alivyokuwa rafu kuingia main road ikabidi nimpe njia apite

Ile kuingia tu main road hakwenda hata hatua kumi kuna paka mweusi akadondoka barabarani toka chini ya uvungu wa gari na kukimbia kurudi makaburini

Nikakemea kimoyomoyo safari ikaendelea Nissan mbele Mimi nyuma

Kufika usawa wa Shule ya Salma Kikwete tukakuta gari zimesimama pande zote.. Mimi nilikuwa gari ya tatu nyuma.. Pale katikati ya barabara kulikuwa na kilinge cha kondoo saba.. Wawili walikuwa wamekaa chini na wengine watano wamewazunguka wenzao!

Mwanzoni nilidhani wale wawili walikuwa wamegongwa lakini baada ya kuwapita, maana ilibidi tutanue kushoto na kulia kuweza kupita, hapakuwa na ajali yoyote

Baada tu ya kupita naangalia mbele nakuta ile Nissan imeshatembea na kui overtake gari ya mbele
Mpaka sasa najiuliza kulikuwa na uhusiano gani kati ya yule paka mweusi Nissan na wale kondoo.
Mtaalamu wa vilingeni kama hilo limekuwa gumu kwako kutambua, je sisi akinakadhalika kweli tutalielewa?
 
Ile picha yao ilisambaa sana
Mimi nimewashuhudia kwa macho kabisa mbuzi ana behave kama mtu kabisa..

Wanajichunga hawavuki kwa mapepe ni watulivu na wapo very humble na Wanajiamini sana sanaa nikashituka kwa kweriiiii
 
Nilitoka Posta kwenye mishe zangu nikawa naelekea Sinza.. Na njia ambayo ingenifikisha kwa urahisi ni kupitia pale Magomeni Morroco then Tandale

Basi nikachukua njia hiyo, Ukiingia hiyo njia kwa mbele kuna shule ya msingi upande wa kushoto na mbele kulia kwenye kona kuna makaburi

Pembezoni mwa makaburi kuna njia inaingia mtaani.. Basi ikatoka Nissan Patrol damu ya mzee toka njia hiyo ya makaburini.. Kwa namna dereva alivyokuwa rafu kuingia main road ikabidi nimpe njia apite

Ile kuingia tu main road hakwenda hata hatua kumi kuna paka mweusi akadondoka barabarani toka chini ya uvungu wa gari na kukimbia kurudi makaburini

Nikakemea kimoyomoyo safari ikaendelea Nissan mbele Mimi nyuma

Kufika usawa wa Shule ya Salma Kikwete tukakuta gari zimesimama pande zote.. Mimi nilikuwa gari ya tatu nyuma.. Pale katikati ya barabara kulikuwa na kilinge cha kondoo saba.. Wawili walikuwa wamekaa chini na wengine watano wamewazunguka wenzao!

Mwanzoni nilidhani wale wawili walikuwa wamegongwa lakini baada ya kuwapita, maana ilibidi tutanue kushoto na kulia kuweza kupita, hapakuwa na ajali yoyote

Baada tu ya kupita naangalia mbele nakuta ile Nissan imeshatembea na kui overtake gari ya mbele
Mpaka sasa najiuliza kulikuwa na uhusiano gani kati ya yule paka mweusi Nissan na wale kondoo.
Ndio kazi unayoiweza siyo siasa
 
Back
Top Bottom