Recent content by Sumu

  1. S

    Mercedes Benz E class

    Hizo hela za kuchezea mnapata wapi?
  2. S

    Ushauri ushauri Kuhusu RAV4 1st Gen aka Mkulima

    Inunue ila cha muhimu uandike tu usia nani aimiliki baada ya wewe kufa.
  3. S

    Feni ya gari

    Hapo sawa. Ningeshangaa kama bado zipo barabarani.
  4. S

    Feni ya gari

    Hizo gari zinatumika hadi leo?
  5. S

    Kuhusu Kufunga Mfumo wa Gas (CNG) Kwenye Subaru Forester.

    Hivi mkuu, hizi gari inakuwaje zinakuwa na utumiaji mkubwa wa mafuta na tunaambiwa engines zake zina teknolojia ya kisasa?
  6. S

    Kuhusu Kufunga Mfumo wa Gas (CNG) Kwenye Subaru Forester.

    Uza hiyo Subaru ununue Raum mkuu. Bado haujawa na uwezo wa kumiliki gari ya cc 2000.
  7. S

    Kuhusu Kufunga Mfumo wa Gas (CNG) Kwenye Subaru Forester.

    Nini kilikufanya ukatoka kwenye hiyo 1770 kwenda kwenye 2000?
  8. S

    Kluger engine kubwa six cylinders (cc 2900)

    Achana na hiyo kitu. It’s not practical.
  9. S

    Wanasemaga mume wangu hata akienda mbali kutafuta kwa miezi kadhaa hakuna shida ni waongo.

    Nipo Mbozi mke yupo Kilosa nimemtumia huu uzi na yeye auone.
  10. S

    Jf Magari Mazda CX-5

    Niendelee kupambana na hii Noah Old yangu.
Back
Top Bottom