Recent content by Sumu

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Toyota Rush. Moja ya gari pendwa sana kwa baadhi ya watu ni kiwemo mimi

    Hakuna gari humo. Bora ununue Rav4 Old.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta Wheel cover ya Toyota cami

    Haziingiliani na ya Rav4?
  3. S

    JamiiForums Tanzania Magari yanayowasumbua nje ya nchi, baadhi ndio Afrika tunanunua

    Ahsante kwa taarifa boss.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mercedes Benz E class

    Hizo hela za kuchezea mnapata wapi?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ushauri ushauri Kuhusu RAV4 1st Gen aka Mkulima

    Inunue ila cha muhimu uandike tu usia nani aimiliki baada ya wewe kufa.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Feni ya gari

    Hapo sawa. Ningeshangaa kama bado zipo barabarani.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Feni ya gari

    Hizo gari zinatumika hadi leo?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Kufunga Mfumo wa Gas (CNG) Kwenye Subaru Forester.

    Hivi mkuu, hizi gari inakuwaje zinakuwa na utumiaji mkubwa wa mafuta na tunaambiwa engines zake zina teknolojia ya kisasa?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Kufunga Mfumo wa Gas (CNG) Kwenye Subaru Forester.

    Uza hiyo Subaru ununue Raum mkuu. Bado haujawa na uwezo wa kumiliki gari ya cc 2000.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Kufunga Mfumo wa Gas (CNG) Kwenye Subaru Forester.

    Nini kilikufanya ukatoka kwenye hiyo 1770 kwenda kwenye 2000?
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kluger engine kubwa six cylinders (cc 2900)

    Achana na hiyo kitu. It’s not practical.
  12. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanasemaga mume wangu hata akienda mbali kutafuta kwa miezi kadhaa hakuna shida ni waongo.

    Nipo Mbozi mke yupo Kilosa nimemtumia huu uzi na yeye auone.
Back
Top Bottom