Recent content by SUMLEY

  1. S

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU, Yu wapi Amit wa Quality Group na sh.Milioni 700+ za ushahidi?

    Nimeshindwa connect hizo nukta aisee...maana title na na maswali tokea la kwanza mpaka la 4 especially swali na 2 na 3 ndo kabisaaaa
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mnyika is the most brilliant lawmaker!

    Zitto binafsi pia namkubali miongoni mwa best mp's and l can put him infront of Mh. Mnyika. Lakin ndugu yangu umejibu kishabiki bila kuheshim michacho ya mh. Mnyika ambayo pia imemfanya watu wamuone kuwa naye ni best Mp. Sio kila mda ni wa kushindanisha watu tuuuuuuu. Kila mtu tumuheshimu kwa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye mbunge mtarajiwa jimbo la Temeke, Mtemvu tafuta chaka mapema

    Huyu jamaa siwezi kumsahau kama ni majembe huyu jamaa ni jembe. Nikikumbuka mgomo mmoja hivi wa kupinga kuchangia 40percent, serikali nzima ya daruso ilirud nyuma jamaa akaongoza mapambano mwanzo mpaka mwisho. Pamoja na vitisho na kuitwa ikulu mara kadhaa jamaa alisimama imara! Naamini majukumu...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hali yazidi kuwa tete escrow, hapatoshi Dodoma

    Chuki binafsi ya nani na nani? Huna point huna hoja kaa kimya.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Zitto na PAC yake waliteleza?

    Nakumbuka zitto aliomba mwongozo kwa mwakilishi wa katibu wa bunge ambae wakiambatana nae kuhusu hili swala. Na huyo mwakilishi wa katibu wa bunge alisema PAC ina haki ya kuzipata hizi nyaraka zilizoombwa.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Anyway labda mimi sijaelewa, lakin kichwa cha habari na hakisadiki ulichoandika ndani
  7. S

    JamiiForums Tanzania Sitta, Mwakyembe, Membe na Magufuli waungana mbio za urais

    Nimesoma thread zote ila dah huyu jamaa plsssss naomba asije kuwa rahisi ameonyesha uwezo mdogo sana.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Nishati yashindwa kuficha madudu yake!

    Inasikitisha pale ambapo unaona mhariri anaelezea jambo tena ambalo anajitetea yeye mwenyewe halafu anaacha maswali mengi na kuongoza doubt katika hilo jambo. Apa kuna mambo mawili either incompetence ya mhariri au kubadili ukweli kuwa uongo ni kazi. Nilikuwa 50-50, na sasa upande wa yericko...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Nishati yashindwa kuficha madudu yake!

    Haya ndio maswali sahihi kwa mtu makini, na kwa mtindo huu ni rahisi kupata majibu sahihi kutoka kwa mtu makini. Na kama hivyo ndivyo basi hutamsikia mhariri akijitokeza kujibu na akijibu atajibu vitu vingine lakin sio hili lako mkuu.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

    Hapana sababu kuu haikua hiyo, mapato kwa mwez yaliongezeka kutoka bilion 28 mwezi september mpaka kufikia bilion 50 mwez december. Ni almost mara 2, sababu ya msingi ni kusimamishwa kwa maofisa 16 pale bandarini. Kwa hiyo mizigo nayo iliongezeka mara 2?
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

    Jaribu kuchukua mda walau dakika moja ufikirie hichi ulichoandika.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

    Ukisema hajafanya lolote unakosea, je wajua mapato ya tra bandarini baada ya mwakyembe kuichukua bandari yamepanda kwa kiasi gani? Usiendeshwe na hisia zaidi kuliko uhalisia. Isiwe tu ilimradi mtu atukanwe na kuchafuliwa, hajafikia kufanya vizur sana ila ktk wizara yake anajitahidi na kila mtu...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

    Kwa fikra hizi tz itatuchukua mda mrefu sana kufikia maendeleo stahiki.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

    Huyu waziri kamani anamaanisha nini?
  15. S

    JamiiForums Tanzania Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

    Mada inahusu escrow account, haya mengine si maswali ya msingi. Tuwe wazalendo tustick kweny point na sio personal attack.
Back
Top Bottom