TAKUKURU, Yu wapi Amit wa Quality Group na sh.Milioni 700+ za ushahidi?

President Elect

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
693
212
1. Baada ya mtuhumiwa kukamatwa pale st.Gapar, je alisafirishwa hadi Dsm?

2.Mtuhumiwa alipotua pale airport chini ya escort ya polisi wakiwa na mabegi yenye fedha za ushahidi, je aliwekwa mahabusu kituo cha jirani, kwa mfano pale stakishari na kidhibiti kikafungiwa stoo?

3.Kama siri za mpango huo zilivujishwa kwa mwenye mzigo, je aliamua kutuma kikosi chenye silaha kufuata mabegi yenye fedha stoo ili kupoteza ushahidi mahakamani?

4.Tukio la uvamizi wa kimafia kituo cha polisi sitakishari, lilikuwa na lengo la kupora silaha tu, au pamoja na kupoteza ushahidi stoo?

5.Unganisha nukta....mtoto hatumwi dukani bila hela, na mwenye hela anajua hela yake ilipo!
 
1. Baada ya mtuhumiwa kukamatwa pale st.Gapar, je alisafirishwa hadi Dsm?
2.Mtuhumiwa alipotua pale airport chini ya escort ya polisi wakiwa na mabegi yenye fedha za ushahidi, je aliwekwa mahabusu kituo cha jirani, kwa mfano pale stakishari na kidhibiti kikafungiwa stoo?
3.Kama siri za mpango huo zilivujishwa kwa mwenye mzigo, je aliamua kutuma kikosi chenye silaha kufuata mabegi yenye fedha stoo ili kupoteza ushahidi mahakamani?
4.Tukio la uvamizi wa kimafia kituo cha polisi sitakishari, lilikuwa na lengo la kupora silaha tu, au pamoja na kupoteza ushahidi stoo?
5.Unganisha nukta....mtoto hatumwi dukani bila hela, na mwenye hela anajua hela yake ilipo!

4. Naona Ni haki kwa polisi maana wamekuwa wakitunyanyasa Sana wananchi na kupendelea fisadi, wamesahau nchi hii watakiwa washirikiane na raia vizuri! Nenda kituo cha polisi unashinda ndiyo utawaelewa polisi wa serikali ya CCM wakoje! Wananchi tunakosa imani na nyie hata kama twajua mwavamiwa tunapiga kimya
 
1. Baada ya mtuhumiwa kukamatwa pale st.Gapar, je alisafirishwa hadi Dsm?
2.Mtuhumiwa alipotua pale airport chini ya escort ya polisi wakiwa na mabegi yenye fedha za ushahidi, je aliwekwa mahabusu kituo cha jirani, kwa mfano pale stakishari na kidhibiti kikafungiwa stoo?
3.Kama siri za mpango huo zilivujishwa kwa mwenye mzigo, je aliamua kutuma kikosi chenye silaha kufuata mabegi yenye fedha stoo ili kupoteza ushahidi mahakamani?
4.Tukio la uvamizi wa kimafia kituo cha polisi sitakishari, lilikuwa na lengo la kupora silaha tu, au pamoja na kupoteza ushahidi stoo?
5.Unganisha nukta....mtoto hatumwi dukani bila hela, na mwenye hela anajua hela yake ilipo!

Sasa unawauliza TAKUKURU badala ya polisi.
 
Nimeshindwa connect hizo nukta aisee...maana title na na maswali tokea la kwanza mpaka la 4 especially swali na 2 na 3 ndo kabisaaaa
 
JESHI la polisi mkoa wa Dodoma limetoa taarifa kwamba raia mwenye asili ya kiasia,Amit Kevalramani,aliyekamatwa na fedha zaidi ya milioni 70 zilikuwa ni fedha zake mwenyewe. Anaandika Dany Tibason, Dodoma … (endelea).
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Misime amesema baada ya uchunguzi uliofanywa na jeshi la polisi walibaini kuwa fedha hizo zilikuwa zake.
"Napenda kutoa taarifa fupi kuhusu tukio lililotokea tarehe 11/07/2015 majira ya saa10:00 asubuhi katika Hoteli ya St. Gasper hapa mjini Dodoma, kuwa wananchi walitoa taarifa majira ya saa 10:00 kwamba kuna mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia amekamatwa na wananchi akiwa na fedha nyingi na kuna vurugu kubwa.
"Baada ya kupata taarifa hizo Jeshi la Polisi Mkoani hapa lilifika eneo la tukio ili kuona kama taarifa hizo ni za kweli.
"Askali walithibitisha kuwa ni kweli walimkuta mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia ambaye alijulikana kwa jina la Amit Kevalramani mwenye umri wa miaka 31, Mhindi, Mfanyabiashara, Mkazi wa Dar es Salaam akiwa na fedha kiasi cha Tsh. 722,500,000.
"Alipohojiwa alisema kuwa tarehe 10/07/2015 alifika Dodoma kwa ajili ya ununuzi wa mazao ya nafaka"alieleza kamanda Misime.
Misime amesema mtuhumiwa huyo alifika Dodoma 10 Julai mawaka huu majira ya asubuhi na alifikia katika Hoteli ya St. Gasper na 11 Julai 2015 aliamua kurudisha fedha benki kutokana na kuona mkusanyiko wa watu wengi wasioeleweka na wenye viashiria vya vurugu.
Amesema akiwa katika harakati ya kurejesha fedha hizo benki, ndipo kundi la watu waliokuwa katika eneo la Hoteli ya St. Gasper walimtilia mashaka na kumzuia asiondoke na ndipo taarifa zilitolewa polisi.
Kwa mujibu wa maelezo ya Misime amesema mashaka ya watu hao yalitokana na vuguvugu za kisiasa/mchakato wa uchaguzi kati ya makundi mbalimbali kuwa kuna watu wanahonga wajumbe.
Amesema taarifa hizo ndizo hata polisi walizopokea kabla ya kufanya uchunguzi lakini baada ya uchunguzi wa kina jeshi hilo lilijiridhisha kuwa taarifa hizo hazikuwa za kweli.
" Katika tukio hili na uchunguzi tulioufanya tumebaini kuwa hakuna kosa la jinai lililothibitika licha ya kukutwa na kiasi hicho cha fedha, tuhuma za rushwa ambazo ndiyo zilikuwa msingi wa ukamataji wa mtu huyo hazikuthibitika, kwa kuwa hakuna aliyeona akizigawa fedha hizo wala hakuna aliyedai kushawishiwa au kugawiwa fedha hizo.
"Aidha imethibitika fedha hizo ni mali yake halali na kwa kuwa hakuna ushahidi mwingine uliyo thibitisha vinginevyo amerejeshewa fedha zake" alisema Misime
Wakati huo huo Misime amesema 10 Julai 2015 majira ya saa saa 3 usiku eneo la Railway Dodoma tulifanikiwa kuwakamata raia wa Burundi kwa kosa la kuishi nchini bila kibali.
Aliwataja waliokamatwa kuwa ni Hererimana Methode(21), Hatungimana Alexis, (20),Niyongabo Justin,( 20),Nteturuye Onesphore (21), Bikorimana Levis, (21) ambao wote ni Wakazi wa Mabanda Burundi kwa kosa la kuingia nchini na kuishi nchini bila kibali.
Amesema watuhumiwa hao a walikuwa wanasafiri na treni kuelekea Dar es Salaam na walipofika Dodoma Askari wanaosindikiza treni waliwashtukia na walipowakamata na kuwahoji walijieleza kuwa ni raia wa Burundi.
Kutokana na tukio hilo Misime amesema anawaomba wananchi wa mkoa wa Dodoma na nje ya Dodoma kutoa ushirikiano pale wanapoona watu ambao siyo raia.
Amesema wasikubali kuwakaribisha wasiwakaribishe bali watoe taarifa kwa vyombo vya dola waweze kuhojiwa kwani hata kama waliingia Nchini na kuhifadhiwa katika makambi yaliyopo Nchini hawaruhusiwikutoka kwenda mbali na kambi zao bila kuwa na kibali maalum.
 
Tsh.Milioni 700+ , kwa nini malipo yasifanyike ki bank? sharia ya ant-money laundering na terrorisms prevention inasemaje kuhusu kubeba kiasi kama hicho? Ndo maana majambazi yanawa-target wafanya biashara maana wanajua wanabebaga mabulumunda na mikongoti ya manoti...Takukuru au polisi wanasemaje kuhusu sharia ya anti- money laundering katika Tanzania, hiyo sharia inasemaje kuhusu manoti hayo ya zaidi ya sh.Milioni 700+ ? Ni muhimu Kuangaia section hizi hapa Section 12 a, Section 13, section 15 na section 17.. act yenyewe hii hapa https://www.fiu.go.tz/AMLA.pdf na amendment ya act yenyewe inapatikana hapa https://www.fiu.go.tz/AMLAamendmentAct2012.pdf
 
Tsh.Milioni 700+ , kwa nini malipo yasifanyike ki bank? sharia ya ant-money laundering na terrorisms prevention inasemaje kuhusu kubeba kiasi kama hicho? Ndo maana majambazi yanawa-target wafanya biashara maana wanajua wanabebaga mabulumunda na mikongoti ya manoti...Takukuru au polisi wanasemaje kuhusu sharia ya anti- money laundering katika Tanzania, hiyo sharia inasemaje kuhusu manoti hayo ya zaidi ya sh.Milioni 700+ ? Ni muhimu Kuangaia section hizi hapa Section 12 a, Section 13, section 15 na section 17.. act yenyewe hii hapa https://www.fiu.go.tz/AMLA.pdf na amendment ya act yenyewe inapatikana hapa https://www.fiu.go.tz/AMLAamendmentAct2012.pdf

Mkuu hii ni issue inayo implicate "Chama Kubwa" na itapotezewa hivi hivi! Tayari RPC Dodoma kesha msafisha mhusika na ndio imetoka hivyo kama nyie wajuzi wa sheria hamtapaaza sauti zenu kwa kutumia media mbali mbali ili ku "draw attention" ya wengi!
 
1. Baada ya mtuhumiwa kukamatwa pale st.Gapar, je alisafirishwa hadi Dsm?
2.Mtuhumiwa alipotua pale airport chini ya escort ya polisi wakiwa na mabegi yenye fedha za ushahidi, je aliwekwa mahabusu kituo cha jirani, kwa mfano pale stakishari na kidhibiti kikafungiwa stoo?
3.Kama siri za mpango huo zilivujishwa kwa mwenye mzigo, je aliamua kutuma kikosi chenye silaha kufuata mabegi yenye fedha stoo ili kupoteza ushahidi mahakamani?
4.Tukio la uvamizi wa kimafia kituo cha polisi sitakishari, lilikuwa na lengo la kupora silaha tu, au pamoja na kupoteza ushahidi stoo?
5.Unganisha nukta....mtoto hatumwi dukani bila hela, na mwenye hela anajua hela yake ilipo!

Mkuu mimi ni mmoja wa watu wanaoichukia ccm na mifumo ya uchaguzi wa kutumia fedha,lkn kwa hili la kukamatwa kwa mhindi na fwedha zake sioni kama kuna haja ya kulitolea macho saana,huwezi kumuhukumu mtu kwa kusafirisha fedha zake,na hakuna ushahidi kama alikuwa anaenda kuhonga,
 
Tsh.Milioni 700+ , kwa nini malipo yasifanyike ki bank? sharia ya ant-money laundering na terrorisms prevention inasemaje kuhusu kubeba kiasi kama hicho? Ndo maana majambazi yanawa-target wafanya biashara maana wanajua wanabebaga mabulumunda na mikongoti ya manoti...Takukuru au polisi wanasemaje kuhusu sharia ya anti- money laundering katika Tanzania, hiyo sharia inasemaje kuhusu manoti hayo ya zaidi ya sh.Milioni 700+ ? Ni muhimu Kuangaia section hizi hapa Section 12 a, Section 13, section 15 na section 17.. act yenyewe hii hapa https://www.fiu.go.tz/AMLA.pdf na amendment ya act yenyewe inapatikana hapa https://www.fiu.go.tz/AMLAamendmentAct2012.pdf

Sasa kama kuna watu 1000 wanatakiwa kulipwa ,utawalipaje na wengine hawana bank account? alafu zile ni fedha za mtu binafsi siyo za serikali kwa hiyo ana maamuzi ya kulipa anavyotaka,kuhusu ant money laundering ni kuwa kama zile fedha siyo chafu utamshtaki kwa kosa gani?mimi sikatai uwenda zile fedha zilikuwa ni kwa ajili ya kurubuni wapiga kura ,lakini je kuna ushahidi gani zilikuwa ni kwa ajili ya kazi hiyo?
 
Sasa kama kuna watu 1000 wanatakiwa kulipwa ,utawalipaje na wengine hawana bank account? alafu zile ni fedha za mtu binafsi siyo za serikali kwa hiyo ana maamuzi ya kulipa anavyotaka,kuhusu ant money laundering ni kuwa kama zile fedha siyo chafu utamshtaki kwa kosa gani?mimi sikatai uwenda zile fedha zilikuwa ni kwa ajili ya kurubuni wapiga kura ,lakini je kuna ushahidi gani zilikuwa ni kwa ajili ya kazi hiyo?
na kama majambazi wangemvamia angesemaje? Unaposafiri sehemu mbalimbali huwa unatakiwa ku-declare thamani ya vitu ulivyonavyo.. hii ni sharia ya kimataifa na hata Tanzania imo, mfano unapoingia na kutoka Tanzania , hutakiwi kuzidi pound 10000 na ni hivyo hivyo duniani kote, na unapokuwa hotelini pia ni hivyo hivyo, je huyo jamaa ali-decare hapo hotelini kwamba alikuwa na hizo Mil 700. Kwa kuwa nazo tu , ziwe zake kihalali au la tayari ni suspect kwa kufinance illegal act, achilia mbali anawalipa watu wangapi.. kama vi za kununua mahindi, awataje aliokuwa anawalipa ma atoe vibali vyake vya biashara...malipo ya wakulima huwa hayazidi million 10 kwa mkupuo... kaka bandu bandu, hiyi sharia ya anti money laundering ni serikali yenyewe waalitunga kwa kushirikiana na wamarekani... inabidi uisome inasemaje kabla ya ku-comment kwamba ni zake na ana uhuru wa kuzitumia anavyotaka.. duniani huku hakuna uhuru wa namna kaka.... kila kila lazima kiende kwenye mstari... ndo maana wakulima hulipwa kwa stakabadhi na katika mabegi yake sikuona hata stakabadhi moja...achene kuwatetea hawa wadosi wanaotuvurugia nchi yetu takatitufu.. kwa nini wasifanye haya mambo huko kwao India...? inatia hasira sana...watanyongwa tu huko kwao... Sisi kama watanzania , hatuhijaji kufikishwa kileleni kwa mtindo huo maana Tanzania sio changudoa anayepokea kila aina ya style kichuma mboga na nyinginezo kwa malipo tu ya rushwa ...
 
Na wale waliodai ya kwamba walimhoji na mhindi akajibu kuwa alitumwa na mmoja wapo wa wale top 5???:A S confused:
 
ushaid hakuna ndo maana akaachiwa huru na mihela yako hatukatai.. point inakuja hv? amewezaje kutoa pesa zote hizo wakati kukiwa ba vuguvugu la uchaguz na kama aliposema kulikuwa na mkusanyiko wa watu wasioeleweka je alichukua taadhali gani juu ya uamishaji wa pesa hizo benki? msitufanye watoto juu ya hili.. kuna sms zilikutwa za maelekezo kuwa pesa ziende wapi je ilo nalo mnataka tusahau?
 
na kama majambazi wangemvamia angesemaje? Unaposafiri sehemu mbalimbali huwa unatakiwa ku-declare thamani ya vitu ulivyonavyo.. hii ni sharia ya kimataifa na hata Tanzania imo, mfano unapoingia na kutoka Tanzania , hutakiwi kuzidi pound 10000 na ni hivyo hivyo duniani kote, na unapokuwa hotelini pia ni hivyo hivyo, je huyo jamaa ali-decare hapo hotelini kwamba alikuwa na hizo Mil 700. Kwa kuwa nazo tu , ziwe zake kihalali au la tayari ni suspect kwa kufinance illegal act, achilia mbali anawalipa watu wangapi.. kama vi za kununua mahindi, awataje aliokuwa anawalipa ma atoe vibali vyake vya biashara...malipo ya wakulima huwa hayazidi million 10 kwa mkupuo... kaka bandu bandu, hiyi sharia ya anti money laundering ni serikali yenyewe waalitunga kwa kushirikiana na wamarekani... inabidi uisome inasemaje kabla ya ku-comment kwamba ni zake na ana uhuru wa kuzitumia anavyotaka.. duniani huku hakuna uhuru wa namna kaka.... kila kila lazima kiende kwenye mstari... ndo maana wakulima hulipwa kwa stakabadhi na katika mabegi yake sikuona hata stakabadhi moja...achene kuwatetea hawa wadosi wanaotuvurugia nchi yetu takatitufu.. kwa nini wasifanye haya mambo huko kwao India...? inatia hasira sana...watanyongwa tu huko kwao... Sisi kama watanzania , hatuhijaji kufikishwa kileleni kwa mtindo huo maana Tanzania sio changudoa anayepokea kila aina ya style kichuma mboga na nyinginezo kwa malipo tu ya rushwa ...

dah mkuu,, yaani uwe na 700+M afu u declare kwamba unazo???? they will hunt you for the rest of your journey
 
Back
Top Bottom