fimbo ya mpera
Senior Member
- Oct 1, 2014
- 101
- 82
kwani kamati ya Zito ndiyo iliyoandika Riport ya CAG? Kamati si itazingatia yaliochunguzwa na CAG na Takokuru sasa hao wabunge wataonewaje. acheni kupotosha kwa hongo za singasinga
You are missing the point Bro rudi usome vizuri.
''Hatupaswi kuwaadhibu watu kwa sababu tu tunawachukia, au kwa sababu tunachuki na tofauti nao binafsi ama za kisiasa, sisi kama bunge ni lazima tufanye kazi zetu kwa kudhibiti hisia zetu, wanachokifanya kina Zitto, David Kafulila na Deo, ni chuki binafsi na si uzalendo kama wanavyotaka iwe, kama ni wazalendo wasingefanya kama haya wanayofanya''. alisema mbunge huyo.
Alisema mbunge huyo, wabunge hao baada ya kuona ripoti ya CAG haiwatii hatiani serikali na wanaowachukia wao, wanalazimisha kusema kuwa kuna hasara ya bilioni 321. Waache kuwafanya wabunge watoto wadogo kwa kuwa kila kitu tunakijua.