Ukifahamu mateso utakayo muachia mama yako, hutakaa ukuchachukua maamuzi hayo ya kijinga, huko unakoona kutofanikiwa kwako mama yako kunamuumiza zaidi kuliko hata wewe mwenyewe.
Ni nchi gani nyingine hapa duniani hutokea Mambo ya ajabu Kama haya?, haiwezekani nijiunge kifirushi Cha tsh2,000 kupata MB 1024 halafu Tena wanatuma sms eti nilijiunga kifirushi Cha tsh 1,000😲.
Wakubwa huu siyo ujambazi?
Kwanini mnadhani kumuua shetani Ni suluhisho? Mwanadamu mwenyewe alikubali kutenda dhambi, halafu kwa jehuri akamtupia lawama MUNGU kwa kusema "huyu mwanamke uliyenipa ndiyo aliyenipa tunda nikala"
NB: maamuzi ya kutenda dhambi hayatoki kwa shetani Bali kwetu sisi wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.