Recent content by Sumah

  1. Sumah

    Mume wangu anatoka kimapenzi na mama yangu, nimeona meseji za mapenzi kwenye simu ya mume wangu

    Pole Dada angu. Cha maana achana na uyo mwanaume haraka sana japo ni ngumu coz unampenda ila koma kikomando achana nae. Bahati unakazi nzuri hutoshindwa kuendesha maisha yako
  2. Sumah

    Nimeoa nina miaka mitatu, mama yangu na dada wanadai mtoto niliyezaa hafanani na mimi

    Pole sana kaka ila chunguza vizuri huenda nimwanao unampa mke lawama bure.
  3. Sumah

    Faiza wa Sugu: Nilikuwa nauza mwili kwa faida

    Nnnnnh ni Atari yan uyo mtoto anaeishi nae mungu amsaidie asiwe kama mama yake
  4. Sumah

    Ni kweli Diamond anashuka?

    Hajashuka hata yupo juu sana
  5. Sumah

    Japo ni muathirika lakini ananipenda vilivo

    Habari zenu wakuu. Ninarafiki yangu nampenda sana ni msichana mmoja mtulivu sana kwanzia nyumbani kwao, shuleni mpaka ugenini. Ila ni muathirika Wa virusi vya ukimwi ugonjwa huo alizaliwa nao. Ni binti mdogo tu miaka 24 sasa na ni binti ambaye ni mrembo hapana mfano. Kuna kijana mmoja ambaye...
  6. Sumah

    Nahisi mke wangu ana mahusiano ya kimapenzi na kaka yake

    Duuuuuuuuuuuuu hana akili uyo mwanamke hasaaa fukuzia mbali kama vipi. Ushaidi unaomkononi already ukiotea cm ya wife screen short chart yao jitumie wakitaka ushaidi uwo in wakwanza . pole lakini mkuu
  7. Sumah

    Wife ameikimbia nyumba sababu ya madeni, nifanyeje?

    Pole sana mkuu kwa yalokupa. Accept all challenges to become the better one, kama ushapata gadhabu mpaka za kufuatwa na makundi hayo ya mikopo nyumban na kunyang'anywa vitu haina haja ya kukata tamaa sasa pambana kiume umsaidie wife kulipa madeni. Na ufanye chap ukamchukue na usimsimange kwa...
  8. Sumah

    Wazazi wakataa kupokea mahari ya binti yao anayeolewa

    Hongera sana kwani ni watu wachache wanamoyo kama wako, cha kukushauri pokea hiyo mahari alafu baada ya wedding Fanya jambo lolote litakalowafurahisha wazee kama kuwaboreshea nyumba n.k alafu masuhala ya kuongea ukweli kuhusu uyo binti kuwa si mwanao nadhani huyo binti ndo wakuka na mume wake...
  9. Sumah

    Binti Ajinyonga, aacha majina ya watu anaowadai wamlipe

    Inalilah wainalilah rajim.
  10. Sumah

    Vimbwanga Uswahilini !!!

    Hahahahaha noma sana.
  11. Sumah

    Nimetumbuliwa jipu jamani,sijapata mshahara

    Daaaaaah inasikitisha kwelii.. Ila vumilia
  12. Sumah

    Taratiiiibu tunaanza kumkumbuka Lowassa

    Uko kuapa pasipokutekeleza ni mbaya sana.
Back
Top Bottom