Recent content by Suleiman Mfua

  1. Suleiman Mfua

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Simba anashinda goli 1 - 0 leo kama unakubaliana nami gonga like hapo
  2. Suleiman Mfua

    PreGE2025 Nani anastahili kushinda nafasi ya Uenyekiti CHADEMA kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe?

    Na Suleiman Mfua Katika siku za hivi karibuni ndani ya Siasa za Tanzania kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusu nani anayestahili kupewa ridhaa ya kua mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mjadala huo umetokana na Vigogo wawili wa Chama hicho Wakili Tundu A. Lissu (Makamo...
  3. Suleiman Mfua

    Mashabiki wa Arsenal sasa tunalamba asali kwa raha zetu

    Kama wewe ni mshabiki wa ARSENAL kama mimi karibu Coco Beach tule muhogo kwa bili yangu! Ukitaka na mishikaki utalipa mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. FT: Arsenal 3 - 1 Totenham
  4. Suleiman Mfua

    Freeman Mbowe Mgeni Rasmi Siku ya Wazee Duniani

    Mwamba analamba Asali Kwa Raha zake
  5. Suleiman Mfua

    Karibu tena comrade Kinana

    Si wajibu wa Serikali kusimamia chama Cha Mapinduzi, Ila Chama Cha Mapinduzu kina wajibu wa kuisimamia Serikali. Nakubaliana na hoja hii na ndio ukweli ulivyo. Kama hukubaliani na hoja hii karibu tuwekane sawa!!!
  6. Suleiman Mfua

    Plot4Sale Eneo la uwekezaji linauzwa mkoa wa Morogoro

    KARIBU KATIKA FURSA YA KUMILIKI ARDHI KWA AJILI UWEKEZAJI WA VIWANDA NA BIASHARA MKOA WA MOROGORO Eneo la uwekezaji kwa ajili ya Viwanda na biashara linauzwa wilaya ya Morogoro Mkoa wa Morogoro "Kanda ya Kati" Eneo hili lipo takriban 15Km kutoka Morogoro Mjini kuelekea Mkoa wa Dodoma na...
  7. Suleiman Mfua

    Tuyatunze maji yatufaayo

    Alisikika kijana mmoja akisema kwa sauti ya juu......!!! Nanukuu:- "Mkinywa maji ya mto mmoja si busara kuyatibua maji kwa miguu kwani wote mtakunywa Maji machafu! Yanini kutibua maji bila sababu!?!" Mwisho wa Kunukuu!! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Suleiman Mfua

    Maridhiano ni muhimu

    Swali hilo linapaswa kuulizwa na asiye mtanzania Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Suleiman Mfua

    Maridhiano ni muhimu

    MARIDHIANO YA KISIASA NI MUHIMU KWA MANUFAA YA TANZANIA YETU. Na Mfua Suleimana (Mshamba) Katika kipindi cha Miaka minne iliyopita nchi yetu imepitia katika kipindi kigumu kisiasa hasa kwa wanachama wa vyama vya upinzani, ugumu huo unatokana na katazo la mikusanyiko ya hadhara ya kisiasa...
  10. Suleiman Mfua

    Mauaji ndani ya msikiti wa Chumo

    NUKUU: "Askari walikwenda Chumo msikitini, wakapiga risasi wakachukua watu 10 tumefika damu zimetapakaa, walivyorudi mmoja kafa, mmoja hana jicho, mmoja wakamnyoa ndevu kwa kumchoma moto, mnapotuambia nchi hii ina amani na utulivu mimi siwaelewi" - Suleiman Bungara (Bwege) Mb - Kilwa. #MUHIMU...
  11. Suleiman Mfua

    Hivi Rais Magufuli anaposema watumishi wote wafuate maagizo ya viongozi wa CCM tutafika kweli?

    Viongozi wote wa serekali wanatekeleza Ilani ya uchaguzi ya ccm, na wasimamizi wa ilani hiyo ni viongozi wa ccm wa ngazi zote, Rais yuko sahihi
  12. Suleiman Mfua

    Tushikamane

    MUHIMU: Tofauti zetu za kisiasa hazituondolei uhalali wa kushirikiana katika maswala muhimu ya kijamii yanayotuhusu. Kila mmoja wetu anapaswa kutambua kua umoja wetu, upendo wetu na amani ya nchi yetu ni kitu muhimu sana kuliko misimamo tuliyonayo katika taasisi zetu za kisiasa. Tushindane kwa...
  13. Suleiman Mfua

    Happy Birthday Jakaya Kikwete lakini..

    Happy Birthday Mwanakijiji wa Msoga J.M. Kikwete. Allah azidi kukujaalia Afya njema, Hekima,Busara na Umri mrefu zaidi j
  14. Suleiman Mfua

    Hakuna malaya hapa duniani ni unafki tu unatusumbuwa, na hakuna demu wa bure hili lieleweke vizuri (wote wauza nyapu?)

    Waambie pia hao unaowatetea kua Siku hizi hakuna mwanaume wa bureee maana kama ni raha twapata wote! Ebbo!
Back
Top Bottom