Na Suleiman Mfua
Katika siku za hivi karibuni ndani ya Siasa za Tanzania kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusu nani anayestahili kupewa ridhaa ya kua mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Mjadala huo umetokana na Vigogo wawili wa Chama hicho Wakili Tundu A. Lissu (Makamo...
Kama wewe ni mshabiki wa ARSENAL kama mimi karibu Coco Beach tule muhogo kwa bili yangu!
Ukitaka na mishikaki utalipa mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
FT: Arsenal 3 - 1 Totenham
Si wajibu wa Serikali kusimamia chama Cha Mapinduzi, Ila Chama Cha Mapinduzu kina wajibu wa kuisimamia Serikali.
Nakubaliana na hoja hii na ndio ukweli ulivyo.
Kama hukubaliani na hoja hii karibu tuwekane sawa!!!
KARIBU KATIKA FURSA YA KUMILIKI ARDHI KWA AJILI UWEKEZAJI WA VIWANDA NA BIASHARA MKOA WA MOROGORO
Eneo la uwekezaji kwa ajili ya Viwanda na biashara linauzwa wilaya ya Morogoro Mkoa wa Morogoro "Kanda ya Kati"
Eneo hili lipo takriban 15Km kutoka Morogoro Mjini kuelekea Mkoa wa Dodoma na...
Alisikika kijana mmoja akisema kwa sauti ya juu......!!! Nanukuu:-
"Mkinywa maji ya mto mmoja si busara kuyatibua maji kwa miguu kwani wote mtakunywa Maji machafu! Yanini kutibua maji bila sababu!?!"
Mwisho wa Kunukuu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
MARIDHIANO YA KISIASA NI MUHIMU KWA MANUFAA YA TANZANIA YETU.
Na Mfua Suleimana (Mshamba)
Katika kipindi cha Miaka minne iliyopita nchi yetu imepitia katika kipindi kigumu kisiasa hasa kwa wanachama wa vyama vya upinzani, ugumu huo unatokana na katazo la mikusanyiko ya hadhara ya kisiasa...
NUKUU:
"Askari walikwenda Chumo msikitini, wakapiga risasi wakachukua watu 10 tumefika damu zimetapakaa, walivyorudi mmoja kafa, mmoja hana jicho, mmoja wakamnyoa ndevu kwa kumchoma moto, mnapotuambia nchi hii ina amani na utulivu mimi siwaelewi" - Suleiman Bungara (Bwege) Mb - Kilwa.
#MUHIMU...
MUHIMU:
Tofauti zetu za kisiasa hazituondolei uhalali wa kushirikiana katika maswala muhimu ya kijamii yanayotuhusu.
Kila mmoja wetu anapaswa kutambua kua umoja wetu, upendo wetu na amani ya nchi yetu ni kitu muhimu sana kuliko misimamo tuliyonayo katika taasisi zetu za kisiasa.
Tushindane kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.