Hakuna malaya hapa duniani ni unafki tu unatusumbuwa, na hakuna demu wa bure hili lieleweke vizuri (wote wauza nyapu?)

Matola tofauti ipo bwana. Kwa yule anayeuza waziwazi huwezi kumla bila pesa yaani kama huna hela siku hiyo unakufa na ny*** zako wakati mwanamke wako anaweza kukupatia muda wowote bila kudai cash. Kitu kingine hivi unamaanisha hata waliooa nao wanauziwa sio? Maana hata wao wanahudumia sana tu
 
Habarini za jumamosi wapendwa wa jukwaa hili. Happy sabbatical.

Naenda direct kwenye point yangu nimekuwa nakerwa kwa muda mrefu kwa watu wasiowaelewa kuwasakama baadhi ya kina dada kuwaita wauza uchi na malaya.

Leo mimi ndio Advocate wao ambaye nimejitolea bure kuwatetea na kuweka fact and evidence tubishane kwa hoja.

Mimi binafsi kwanza nina umri wa kuweza kugombea Urais ninajiamini nina exposure ya kutosha ndani ya nchi na nje.

Ni sisi wanaume 98% tukisafiri upenda kupata ukarimu wa ngono kwa wasichana wa eneo husika, na ukute unakaa siku mbili tu, ukikalimiwa imeshakuwa shida, malaya umesahau wewe mwenyewe malaya.

Ukimuuliza mtu ni mwanamke gani umewahi kusex naye hujampa pesa huwezi kupata jibu ukweli ni kwamba wanawake wote wanapokea pesa after sex kwa kisingizio cha nauli.

Lakini hapa wapo wadada ambao wao wameweka wazi ukitaka kuwamega mkatie pesa kiasi fulani basi mchezo umekwisha hawa ati wanaitwa wauza mbunye kosa lao liko wapi? Ni mwanamke gani anayetowa bure? Aje hapa hadharani akanushe hili.

Haya ngoja niwape mifano hai kuna dogo huyu Diamond eti naye kapachikwa jina la malaya!! Jamani tumuogope Mungu huyo Diamond ni maarufu tu hana umalaya wowote, wanawake wote aliodate nao wanahesabika wakati sisi tunaomnyooshe kidole binafsi kwangu hata ukiwajaza kwenye fuso halitoshi labda ulete treni ya Mwakyembe na ukinipa kitabu niwaandike siwezi kuwakumbuka ila huyu mtu maarufu wanawake aliotembea nao kwa 99% wanajurikana hii same applied kwa Wema Sepetu.

Issue iko hivi kuna wanawake hawatoi nyuchi zao kwa mfumo wa kupatana bei lakini wastani wake wa kuliwa na wanaume kwa mwezi anamzidi huyu tunayeamini na kumuita muuza mbunye hii siyo sawa hata kidogo.

Ninajuwa vyema wako wanawake wachache mno very independent lakini ukiwachunguza kwa undani walishaumizwa na wanaume ndio sababu kwakuwa wana cash mwanaume ukikaa na mwanamke kama huyo anakuonesha power of independence woman, anaclear bill na anaweza kukupa cash.

Mimi nawapa moyo sana madada wote wanaotowa ngono kwa mapatano ya cash kwanza siyo wanafki ni wawazi hawana usumbufu na 90% ni wadada ambao wapo kwenye viwango vya kuitwa warembo.

Nihitimishe tu hoja yangu kwa kumtaka mwanaume yeyote anayejiona yeye si malaya ajitokeze hapa na mwanamke yeyote anayesema yeye hauzi anatowa bure pia ajitokeze hapa.

Tanzania bila unafki inawezekana.
Malaya sio kupokea pesa tu baada au kabla ya Sex...bali malaya ni Mwanamke wa wote....malaya sio lazima ajiuze...anaweza akawa hta ofisini na kazi yke nzr tu..lakini akawa ni malaya..anaweza hata akawa mke wa mtu lakini malaya...na kuna tofauti ya malaya na muuza UCHI pia....malaya anaweza ikawa ana tabia ya kutembea na wanaume tofuti tofuti hta bila kupewa kitu,,ni tabia yake tu kutembea hovyo,,mwanaume anaweza akamrubuni kw maneno au chochote akampata..na anaweza asimpe chochote...lakini muuza uchi tendo halifanyiki bila kuona pesa kwnza..au ukishamaliza bila pesa zake hutoki..kwahiyo si kila mwanamke ni malaya na si kila malaya ni muuza uchi..
 
Habarini za jumamosi wapendwa wa jukwaa hili. Happy sabbatical.

Naenda direct kwenye point yangu nimekuwa nakerwa kwa muda mrefu kwa watu wasiowaelewa kuwasakama baadhi ya kina dada kuwaita wauza uchi na malaya.

Leo mimi ndio Advocate wao ambaye nimejitolea bure kuwatetea na kuweka fact and evidence tubishane kwa hoja.

Mimi binafsi kwanza nina umri wa kuweza kugombea Urais ninajiamini nina exposure ya kutosha ndani ya nchi na nje.

Ni sisi wanaume 98% tukisafiri upenda kupata ukarimu wa ngono kwa wasichana wa eneo husika, na ukute unakaa siku mbili tu, ukikalimiwa imeshakuwa shida, malaya umesahau wewe mwenyewe malaya.

Ukimuuliza mtu ni mwanamke gani umewahi kusex naye hujampa pesa huwezi kupata jibu ukweli ni kwamba wanawake wote wanapokea pesa after sex kwa kisingizio cha nauli.

Lakini hapa wapo wadada ambao wao wameweka wazi ukitaka kuwamega mkatie pesa kiasi fulani basi mchezo umekwisha hawa ati wanaitwa wauza mbunye kosa lao liko wapi? Ni mwanamke gani anayetowa bure? Aje hapa hadharani akanushe hili.

Haya ngoja niwape mifano hai kuna dogo huyu Diamond eti naye kapachikwa jina la malaya!! Jamani tumuogope Mungu huyo Diamond ni maarufu tu hana umalaya wowote, wanawake wote aliodate nao wanahesabika wakati sisi tunaomnyooshe kidole binafsi kwangu hata ukiwajaza kwenye fuso halitoshi labda ulete treni ya Mwakyembe na ukinipa kitabu niwaandike siwezi kuwakumbuka ila huyu mtu maarufu wanawake aliotembea nao kwa 99% wanajurikana hii same applied kwa Wema Sepetu.

Issue iko hivi kuna wanawake hawatoi nyuchi zao kwa mfumo wa kupatana bei lakini wastani wake wa kuliwa na wanaume kwa mwezi anamzidi huyu tunayeamini na kumuita muuza mbunye hii siyo sawa hata kidogo.

Ninajuwa vyema wako wanawake wachache mno very independent lakini ukiwachunguza kwa undani walishaumizwa na wanaume ndio sababu kwakuwa wana cash mwanaume ukikaa na mwanamke kama huyo anakuonesha power of independence woman, anaclear bill na anaweza kukupa cash.

Mimi nawapa moyo sana madada wote wanaotowa ngono kwa mapatano ya cash kwanza siyo wanafki ni wawazi hawana usumbufu na 90% ni wadada ambao wapo kwenye viwango vya kuitwa warembo.

Nihitimishe tu hoja yangu kwa kumtaka mwanaume yeyote anayejiona yeye si malaya ajitokeze hapa na mwanamke yeyote anayesema yeye hauzi anatowa bure pia ajitokeze hapa.

Tanzania bila unafki inawezekana.
Waambie pia hao unaowatetea kua Siku hizi hakuna mwanaume wa bureee maana kama ni raha twapata wote! Ebbo!
 
Ukiitakata ZINAA Lazima ugharamike sio mwanamke Wala mwanaume.
 
Hapo kwa Diamond na Wema nakubaliana na wewe kuna siku tulibishana na dada yangu nikamwambia hebu tuhesabu wanaume uliotoka nao wewe tulinganishe na wa Wema tuone nani anao wengi zaidi... Tena Diamond ndo kabisaa ni mtulivu ukilinganisha na kaka zetu huku mtaani
 
Matola tofauti ipo bwana. Kwa yule anayeuza waziwazi huwezi kumla bila pesa yaani kama huna hela siku hiyo unakufa na ny*** zako wakati mwanamke wako anaweza kukupatia muda wowote bila kudai cash. Kitu kingine hivi unamaanisha hata waliooa nao wanauziwa sio? Maana hata wao wanahudumia sana tu
Mwanamke muuza Uchi humli bila pesa....lakini malaya ni mwanamke anayetembea na kila mwanaume hata bila kupewa kitu..ni mwepesi kumpata hata ukimpiga sound tu unamla....buree...ndy maana hata mwanaume ukiwa na tabia hyo unaitwa malaya. ..bila kujali ww ni ME au KE...malaya linasimama vilevile
 
Hapo kwa Diamond na Wema nakubaliana na wewe kuna siku tulibishana na dada yangu nikamwambia hebu tuhesabu wanaume uliotoka nao wewe tulinganishe na wa Wema tuone nani anao wengi zaidi... Tena Diamond ndo kabisaa ni mtulivu ukilinganisha na kaka zetu huku mtaani
Mimi sikufichi, nikisema niwapange basi Fuso haitoshi lakini kwenye jamii ninayoishi mimi ni moja watu watulivu sana kwenye maswala hayo.

Tena ningemiliki uchumi kama wa huyo dogo Diamond basi huenda hata ningeshapata jina la marehemu tayari.

Kuna wake za watu wa ndoa kabisa jamaa wanaowala ukipiga hesabu wanazidi idadi ya mabwana aliodate nao Wema ambaye status yake ni single.
 
Mwanamke muuza Uchi humli bila pesa....lakini malaya ni mwanamke anayetembea na kila mwanaume hata bila kupewa kitu..ni mwepesi kumpata hata ukimpiga sound tu unamla....buree...ndy maana hata mwanaume ukiwa na tabia hyo unaitwa malaya. ..bila kujali ww ni ME au KE...malaya linasimama vilevile
Kwa hiyo kama una mpenzi wako mnakulana bure bado utamuita malaya?
 
Mimi sikufichi, nikisema niwapange basi Fuso haitoshi lakini kwenye jamii ninayoishi mimi ni moja watu watulivu sana kwenye maswala hayo.

Tena ningemiliki uchumi kama wa huyo dogo Diamond basi huenda hata nishepata jina la marehemu tayari.

Kuna wake za watu wa ndoa kabisa jamaa wanaowala ukipiga hesabu wanszidi idadi ya mabwana aliodate nao Wema ambaye status yake ni single.
Haha eti fuso halitoshi duuh we kiboko
 
Kwa kuongezea

Malaya ni mwanamke au mwanaume Mwenye kuzini na wanawake tofauti tofauti kwa wakati mmoja

Kahaba huyu ni mwanamke mwenye kuuza mwili wake.


Kutoa Pesa kwa mpenzi hii n watu wameathiriwa na mazingira Mfno (iman yangu inaniambia mwanaume ana wajibu wa kumtunza mke wake kuanzia mavazi, Chakula na huduma Nyingne na mwanamke hatakiw kuomba ni Mwenyewe mwanaume ujiongeze) hii inapelekea wanawake wengi wakiwa wanawapenzi wao waone wana Haki ya kutuzwa kivyovyote vile hii inapelekea waonekane wote kundi moja na kahaba japo hamjahafikiana Malipo hapa kwa mwanamke mwenye kuomba huduma.


Na kwa mwanamke ambaye haombi huduma wewe mwenyewe ukajiongeza kumpa Huwez mwita Malaya Wala kahaba hayo ni mapenzi Yako tu yaliyokupelekea umpe.

Hitimisho wanawake tusifosi kuhudumiwa na wanaume tunaozini nao acha watuhudumie kwa mahaba yao. Mwenye wajibu wakukuhudumia ni mume wako wa ndoa. Tofaut na hapo tukiitwa makahaba tusilalamike.

Na mwanaume usimwite malaya au kahaba mwanamke uliyempa huduma yoyote kwa mahaba Yako Mwenyewe jiulize mpenzi wako akikupa Chochote bila kumuomba utakataa??
 
Kwa hiyo kama una mpenzi wako mnakulana bure bado utamuita malaya?
Nimesema malaya ni mwanamke/mwanaume anayefanya mapenzi na wanaume/wanawake wengi ndy tafsiri ya malaya..malaya sio lazima awe mwanamke..hata mwanaume km ana tabia hizo pia ni malaya...wapo wtu wanaishi na wake/ au waume zao wakati ni malaya huko mitaani...ila muuza uchi yeye kazi yake ni kuuza uchi,,na bila pesa humli...ila malaya unaweza ukamla hata bila pesa sababu yeye tabia yake tu ni kutembea na wanaume tofauti, ,,malaya unaweza ukamnunulia hata chips kuku tu ukaenda kumla hata bila kumpa pesa....ila muuza uchi chips atakula na pesa zake lazima uumpe...na hata huyo mpenzi wako kama ana wanaume 4 zaidi ya wewe means ni malaya..wengi tunaishi na malaya ndni bila kujijuwa...
 
Matola tofauti ipo bwana. Kwa yule anayeuza waziwazi huwezi kumla bila pesa yaani kama huna hela siku hiyo unakufa na ny*** zako wakati mwanamke wako anaweza kukupatia muda wowote bila kudai cash. Kitu kingine hivi unamaanisha hata waliooa nao wanauziwa sio? Maana hata wao wanahudumia sana tu
Wanaume si kila tunayekula naye uroda ni mtu wako, mwingine mmegumiana tu mitaa flani sasa unamkomalia mpaka akupe mzigo, baadaye unamwachache? Hoja hiko hapo. Na mwingine mnajuana tu fresh.
 
Wanaume si kila tunayekula naye uroda ni mtu wako, mwingine mmegumiana tu mitaa flani sasa unamkomalia mpaka akupe mzigo, baadaye unamwachache? Hoja hiko hapo. Na mwingine mnajuana tu fresh.
Lakini sio kila mwanamke anaweza kufanya hivyo. Bado niko palepale si kila mwanamke 'anauza'
 
Unafiki ndio maisha yenyewe,bila unafiki maisha hayaendi.Kila mtu akiishi kwa ukweli wa nafsi yake dunia itasimama.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom