Jana waziri wa habari,vijana,utamaduni,na michezo mh. Mkangara alisoma bajeti ya wizara yake lakini pesa za maendeleo ni milion mia sita tu wakati matumizi ya kawaida ni bilion Ishirini,
Hebu angalia wizara iliyobeba nguvu kazi ya taifa yaani vijana,weka habari,utamaduni bila kusahau michezo...