Recent content by Suleiman hatibu

  1. Suleiman hatibu

    Msaada waku

    Kijana wangu amechaguliwa kujiunga na kidatu cha tano tahasusi ya HGL Nimepewa orodha ya vitabu. Je vitabu gani yaniapasa kuvinunua kutoka katika orodha ambavyo atasoma navyo kidatu cha tano?
  2. Suleiman hatibu

    Msaada tafadhali🙏🙏

    Daaaah.. angekuwa mwanao ungefanya maamuzi hayo mkuu... acha hizo ndugu yangu
  3. Suleiman hatibu

    Msaada tafadhali🙏🙏

    Kijana wangu wa kike amepata ufaulu ufuatao wa kidatu cha nne, CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'D' Dv 3 ya 23 je anaweza kuchaguliwa kuendelea na kidatu cha tano...!!?
  4. Suleiman hatibu

    Nawezaje kujitoa kwenye kesi ya madai niliyoianzisha?

    Nikiwa kama mpeleka maombi mahakama kuu kuhusu kesi ya madai sasa sioni sababu ya kuendelea na kesi nataka kujitoa, Je nafanyaje? Na kesi bado haijaanza kusomwa. NAOMBA MSAADA WENU NAMNA YA KUANDIKA BARUA AMA MAELEZO YA NAMNA YA KUJITOA
  5. Suleiman hatibu

    Naomba ushauri kuhusu matokeo haya

    Kijana wangu amepata four ya 29 Na matokeo ndio kama nilivyoyahainisha Anaweza kusomea ishu gani? plz naomba muongozo wenu wakuu CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
  6. Suleiman hatibu

    Tuliopewa tunda baada ya kutoa lifti tukutane hapa

    Nimeishia kutabasamu mwenyewe!
  7. Suleiman hatibu

    Hivi Mwanasheria Msomi Mabere Nyaucho Marando yuko wapi?

    Men Mengine ya kumezea tu
  8. Suleiman hatibu

    Vikao vya Bunge vyaanza leo. Miraj Mtaturu aapishwa rasmi kuwa Mbunge wa Singida Mashariki

    Mbunge mteule wa jimbo la singida mashariki ameapishwa! Mjadala ulivyokuwa unaendelea ukihusu wizara ya maji,mbunge huyu alipata fursa ya kuuliza swali la nyongeza,lakini yeye hakuwa na swali Bali alikuwa na maombi ya kupatiwa sh Bln 2 ili tatizo la maji liwe limekwisha katika jimbo lake...
  9. Suleiman hatibu

    Msafara wa CUF wazuiliwa na Polisi usitoke nje ya Newala kuendelea na ziara ya ufunguzi wa matawi

    BREAK NEWS Habari za hivi punde Msafara wa wabunge wetu unao ongozwa na Makamu mwenyekiti CUF bara umezuiliwa na police usitoke nje ya newala Leo kuendelea na ziara ya ufunguzi wa matawi na vikao vya ndani ya chama ktk ratiba yake Leo kuelekea Tandahimba Polisi mtaendelea kutumiwa na ccm hadi...
  10. Suleiman hatibu

    Cuf yazindua kauli mbiu ya haki na furaha kibabe

    Mwenyekiti wa chama cha wananchi cuf prof ibrahim LIPUMBA leo amezindua kauli mbiu ya haki na furaha 2019/2020 lipumba akiambatana viongozi mbalimbali wa kitaifa aliwahutubia maelfu ya wanachama wa mkoa wa dar Wale wanaosema cuf imekufa baada ya yule kiajuza cha zanzibar kwenda act hakika...
  11. Suleiman hatibu

    Prof Lipumba kuzindua sera ya furaha na demokrasi yenye misingi ya haki sawa kwa watu wote

    Kunywa maziwa uondoe sumu iliyoganda ubongoni mwako!!!
  12. Suleiman hatibu

    Prof Lipumba kuzindua sera ya furaha na demokrasi yenye misingi ya haki sawa kwa watu wote

    Ndugu yangu inaonekana unaumia sana moyoni!! Vp umenyimwa cheo cha uenyekiti wa kamati nini Maana act kwa wenyeviti mnaongoza!
  13. Suleiman hatibu

    Prof Lipumba kuzindua sera ya furaha na demokrasi yenye misingi ya haki sawa kwa watu wote

    Jumamosi hii ya tah 22,saa 2 asubuhi pale kwenye ukumbi wa Diamond jubilee Mwenyekiti wa CUF ambaye ni mwanasiasa msema kweli. Prof Ibrahimu Lipumba atazindua sera ya furaha na demokrasia itakayozingatia misingi ya haki sawa kwa watu wote. Hakika huu ni ubunifu na ni mpango wa kukiweka tayari...
  14. Suleiman hatibu

    Lipumba kuzungumzia bajeti ya Serikali ya CCM kesho

    Chama cha wananchi CUF kinawataarifu wanaCUF na Watanzania wote kwamba kesho, Tah 15/6/2019 Saa 3 asubui Yalipo makao makuu ya CUF-buguruni Mwenyekiti wa CUF na bingwa wa masuala ya uchumi africa na duniani..Prof Ibrahim LIPUMBA ataongea na vyombo vya habari kwa maudhui ya kuichambua bajeti...
Back
Top Bottom