Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Msiomjua Gwajima mnapoteza muda kumdiskasi.
Comments nyingi humu ndani zimejaa umbea na hisia hisia tu.
Mie bora niachane na mambo haya mara ooh Pengo mara ohh Gwajima aaaaa tuache bana kuongelea masuala ya watu binafsi.
Hao polisi walikuwa wapi...
Pengo amepotoka kama wagalatia.
Mtume Paulo aliwachana live, hadharani kabisa Wagalatia akawaambia "enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga?"
Pengo alipowageuka Maaskofu wenzake amekengeuka.
Ikumbukwe kuwa yeye sio kiongozi wa kanisa letu Katoliki, Yeye sio Rais wa baraza letu la...
Ibara ya 52(1) ya Katiba ya JMT imempa Pinda Madaraka ya Kudhibiti, kusimamia na kutekeleza shughuli za kila siku za Serikali kwa niaba ya Rais.
Swali ni je, Pinda alikuwa wapi siku zote asidhibiti ukwapuaji wa mabilioni ya Tegeta Escrow account wakati mgogoro wa bei baina ya IPTL na Tanesco...
Watanzania wakiichagua CCM 2015 itadhihirika wazi wazi kuwa tumelogwa.
Kasha ya Escrow inatosha kabisa kuiangusha CCM.
Kama ilivyoandikwa "enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaloga?" Wagalatia 3:1
Sasa nauliza enyi Watanzania msio na akili ni nani aliyewaloga mpaka kashfa zinapita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.