halafu na ww unajiita mwanaume, mwanaume wa kweli hahongi elfu 5 wala hatoi sababu za kipuuzi kwenye suala la uhongaji. Ungesema hv uwezo wangu wa kuhonga ni mdogo, sina uwezo wa kuwahimili wadada wanaojitambua ndio maana nakimbilia kwa watoto wa shule, maana kwa mdada anaejitambua hiyo elfu 5...
ni utoto unamsumbua , akikua ataacha. Pale atakapojikuta anahitaji kuolewa halafu hapati wa kumuoa kutokana na historia ya matendo yake na tabia zake ndipo atakapotamani dunia irudi nyuma ili arekebishe yote hayo.
Dunia ni tambala mbovu.
yaan tena yanaboa kichizi, unakuta limtu limepanga foleni na wakati an lenyewe choka mbaya tu hata halina uwezo wa kuhudumia. Mwanaume anasifiwa namna anavyojali sio foleni ya wanawake, km ni foleni hata mbwa anayo.
Badilikeni buana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.