kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
Yaishe tusimwage kuku katika mtama mwingi akavimbiwaWe we mfukunyuku best😀😀
Yaishe tusimwage kuku katika mtama mwingi akavimbiwaWe we mfukunyuku best😀😀
Na wenye akili zaidi wamejiingiza kwenye mifuko ya jamii, sura zao bado zinaonekana kwa heshima.Sky Eclat, yaani hata yule jamaa anaewaandaa kwenye zile pwani takatifu hakumwona kweli huyo binti?
Nawasifu sana wale mabinti wachache ambao waliamua "between" kuwa wajasirimali, waliona mbali sana.
😀
Ninafkikira binti angepata ushauri wa kuwa balozi wa let say watoto yatima, wenye ulemavu au magonjwa sugu na kufanya fund rising dinners, angeweza kupata air time kwenye media na pia uwezekana wa kukutana na kigogo mwingine.Na wenye akili zaidi wamejiingiza kwenye mifuko ya jamii, sura zao bado zinaonekana kwa heshima.
Mkuu hii kali.