Mwanaume hasifiwi kuwa na wanawake wengi

Mwanaume hasifiwi kuwa na wanawake wengi

Kwa Mimi binafsi, mbili ni bora kuliko moja.
 
mleta mada sema huna .demu mmoja ndo nn je siku zikivurugika
 
Hawa watoto wa sekondari wamefunga shule?mbna post za kitoto sana humu nowadays
 
kuna vitu vya kujisifu ila sio kuwa na madem wengi afu unakuta hawajielewi ......hata kama ulishatendwa na madada kuwa nao wengi sio solution sababu unaweza kua nao wengi stil then mmoja wao akazingua ukaona kama uko single vile .....kijana save your sperms
 
Bado hujaumizwa!
Wenzio tulishapita huko,
Usidhani mtu anapenda kuwa na relationship mbili au tatu,
Inafika kipindi Moyo huna Majibu kila unayeonana naye, huelewi unampenda au anakupenda upo upo tu,
wapo waliosomesha wakaachwa wakajiua,
wapo waliozalishwa wakatemwa kama Big G,
Wapo waliong'ang'ania miaka na miaka baadaye kaolewa mwingine,
wapo waliotunza sana mademu zao kumbe demu anamchuna anakwenda tumia na wengine halafu nje anasema lile liboya nalilia pesa zake,
Mapenzi hakuna Bongo,
Mapenzi Ulaya, Afrika Biashara.
Kama siyo Biashara haiwezekani Msichana akienda kutambulisha kwao cha kwanza bwana anafanya kazi gani, amejenga au amepanga?? Maswali haya yamekaa kama fursa.
So Usiumize sana kichwa juu ya Mapenzi,
Tunza Sana Afya yako Maana ndiyo hukufanya utabasamu kila unapoiona asubuhi mpya,
Mengine yachukulie poa tu.
Mkuu naona umetoako yote yamoyoni mwako.
 
Takwimu zinasema ratio ni 1:4 maana yake ni ili kila mwanamke apate mwanaume inatakiwa mwanaume mmoja awe na wanawake wanne
 
HII MISTARI YA NIKI WA PILI SIO YA KUIZINGATIA SANA
 
yaan tena yanaboa kichizi, unakuta limtu limepanga foleni na wakati an lenyewe choka mbaya tu hata halina uwezo wa kuhudumia. Mwanaume anasifiwa namna anavyojali sio foleni ya wanawake, km ni foleni hata mbwa anayo.
Badilikeni buana.
 
unazani tunapenda kuwa nao wengi, wanakuja wenyewe. sijui kwanene [emoji4]
 
Back
Top Bottom