Recent content by sukari yao

  1. sukari yao

    Navutiwa sana na mwanamke mweusi

    pokea like mkuu
  2. sukari yao

    Julius Mtatiro: Mawaziri wa CCM wanaendesha vikao vya siri na kugawa bahasha kwa wajumbe!

    hata hiyo mijitu iliyoenda kuwakilisha makundi ina njaa sana! I wonder kwamba laki 3 per day, still wana price tag!! Hii nchi ina tatizo kubwa si kwa viongozi pekee bali hata kwa wananchi wenyewe. Usishangae wakati wa kupiga kura ya kuipitisha watanzania wakapewa hongo za vyakula na kapero...
  3. sukari yao

    wachaga mbona mnawalazimisha dada zetu mliowaoa kunywa damu

    unaijua rombo sauce? inatengenezwa kwa kisusio kidogo, pilipili kidogo na limao! ni balaa! ukichovya nyama pale iwe ya kichoma au ya kuchemsha hutoacha mmeku! alafu kwafumao kwara kangaru ka wari wa umbeke mmeku! doh
  4. sukari yao

    Bunge huru la wana JamiiForums: Tathmini ya maisha ya watanzania mwaka 2013!

    *m* oyeeeeeeeeeeee.................... mh spika nashukuru kwa kunipa nafasi ya kuchangia mjadala huu! kwanza kabisa nawapa pole wenzetu wa Africa kusini kwa kumpoteza shujaha wao na shujaha wa Afrika kwa ujumla! sirikali yetu tukufu iliwakilishwa na mh rais wa JMT! alitoa hotuba nzuri sana...
  5. sukari yao

    Kumjaribu mpenzi kama si msaliti.

    sun of the beach!
  6. sukari yao

    Mangi aamua kupiga kiberiti nyumba yake mara baada ya kubaini mke anasaliti penzi lao

    we kikoj()zi umeufanya huu uzi ni wa kutolea hasira zako kwa wachagga! Hata ufanyeje huezi kuwa mchagga miaka 10000000000000000, sanasana utabwabwaja tu! punguza wivu wa kijinga!
  7. sukari yao

    Top beauty girl in mum jf!

    mkuu umeingia chaka, kifupi ni kuwa umechemsha kuanzisha huu uzi!
  8. sukari yao

    Jamani hivi kwa nini baadhi ya wanyama hawamuogopi mwanamke??

    najua umekurupuka kuandika hivi ili usifiwe na wadada kuwa unawajali wanawake! no research no right to speak.
  9. sukari yao

    Kada Maarufu wa CHADEMA Mtaa wa Sahara, Jijini Mwanza Aapa Kufa na Wasaliti wa CHADEMA

    hivi mchagga hana haki ya kuongea kitu kwenye hii nchi? mods bado wanawaacha mnachangia mada tu, i wonder why msipewe ban! siku matunda ya ukabila yatakapoiva tutayala wote! naona mchagga anabaguliwa kwa manufaa ya siasa za maji taka! ole wenu wa panzi wa tunda hili!!!
  10. sukari yao

    5 sex positions women die to have

    Hiyo tinna cute haiwezi hahahaha!!!
  11. sukari yao

    Sitoisahau siku hii.!!! Soo embarrassed

    Mara kuna watu walikuwa wamesimama mara wote walikuwa wamekaa! Hii story yako pitia utunge upya!
  12. sukari yao

    Wanachama wa CHADEMA udom wamerudisha kadi cha chama

    huyu jamaa namfahamu ni mchumia tumbo mzuri sana! Hujambo mr TARIMO WA ROMBO?
  13. sukari yao

    Tecno Phantom ushauri tafadhali

    wadau naomba mniambie namna ya kuenable 3g kwenye samsung GT I8190 !
Back
Top Bottom