tunavumilia manake wallet zinaeleweka!
Si wote lakini. Wako wenye sura za kutisha kama Mh......(nasita kutaja jina)!
tunavumilia manake wallet zinaeleweka!
Nackiaga Tu Ila Cnaiman Juu Yahilo Mamaangu Aliniambia Hakuweza Kusoma Kwakua Alikua Akilinda Nyan Wacle Maindi Shamban Kwaiyo Ciamini Kama Nyan Hamwogopi Mwanamke
Muulize alikuwa anavaa nguo gani wakati akilinda!mi nimeona wanawake wakivaa suruali,koti(kuficha matiti)na kofia ndio nyani wanamuogopa,vinginevyo huwa manyani dume yanaingia kula tu mahindi huku yakimuonyeshea sehemu zao za uume!Hata mie nilishangaa sana kuona hivyo!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mie home ngedere wanakujaga nikiwafukuza ndo kwanza wananyoosha tubolo twao twa blue.
Poor attitude, poor thinking, poor managerial skills
Poor attitude, poor thinking, poor managerial skills
uoni kua naandika kwa wasiwasi mkuu, nakuogopa weyeeeee....
Kwa hiyo kwa ufupi wewe ni bidhaa na unalipiwa kodi?
Btw hapa najaribu kutafuta msamiati wa mwanamke avutiwaye na pesa ya mwanaume...
Swala la kusema wanaangalia wallet tayari amedhibitisha yeye kiumbe dhaifu,hawez bila mwanamme,wote ni udhaifu
---- nini?kwa ulichoandika hapo, lazima waje...! Jiheshimu kwanza lazma wakuheshimu haya mambo ya f**kbook usitultee humu ndani....