Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
JF kuna manabii sikuhizi mkuu,
Manabii wa wale wenye mapembe au?
JF kuna manabii sikuhizi mkuu,
Mambo vipi?Wanajamvi eeh!Hv msichana ama binti mzuri kupita wote humu Jukwaani ninan?
Tupia jina lake na uzur wake!
Kwangu mimi ni Heaven on Earth uzuri wake:-anaongoza kwa kukomenti post zangu na wewe je?
mimi!!!
Two things mixed up,dada
mzuri na dada anayeongoza ku comment which is which?for clarification
purpose
Hujakosea
I'm bisexual
Still fake
Hivi hujui kuwa maisha ya MMU ni ya kuigiza?
Unataka tutoe maamuzi kwa muktadha wa maigizo?
Halafu unasemaje uzuri bila kusema ni uzuri gani?
Na kama ni uzuri huo unaodai kusema hapo mbina umetaja wasichana tu
Wanawake je?
Wanaume je?
Halafu unajuaje kuwa fulani ni mwanamke au msichana?
someone here need a real good ol' fashioned ass whooping!!
should i?
BRAINS beiiiibi !thiiiiiis brains!
wewe ndo hendisamu wangu humu!
kama kigezo ni sura basi umeliwa,maana wengine sura za kike kumbe midume tu.