Unaelewa ulichokiandika? acha kudumaza akili yako kwa kigezo cha mnyaazi Mungu. Think big utaelewa tu kuwa mheshimiwa raisi yoko sahihi 100%. acha kuwa mtaalamu wa kulalamika na kupotasha wengine wenye uelewa mdogo kama wako maana watakufuata wasifike cos ya akili mgando.
wanakumbuka shuka kumekucha?! walikuwa wapi madini yote yamekwibwa? walikuwa hawajui kuwa tuna watalaamu wazelendo na wazawa wanaoweza kuitendea haki nchi yao?
Naomba source ya income ya ZZK, maana hata viposho pale mjengoni huwa hachukui! anapata wapi hivo vijisenti? au anahongwa na mafisadi ambao baadae wanakuja kutuharibia nchi.
Zito kama mambo haya siyo si ukanushe kwa kueleza ukweli? kama ni ukweli laana ya watanzania itakuandama kwani umeme unamchango mkubwa sana kwenye mfumuko wa bei nchini kumbe ilikuwa mbinu yenu chafu!!!!! jamani zito!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.