Before you marry

Before you marry

Wanasaikolojia tuambieni uhusiano wa haya yanenwayo hapa na tabia halisi katika maisha ya kawaida :help:
 
Sasa mimi sipendi yule msichana ambaye anajivunga halafu akitoka hapo anatamani kulia..akikiangalia chakula anatamani kurudi akichukue.....Njaa inamuuma...then ukute anakoenda anaenda kugegedwa inakuwa shiida na njaa yake maskini

Chakula kimelipiwa Kulaa, sio unakata kinyango eti ndio umeshiba wakati ukimuangalia tuu unajua huyu hajashiba...nyumbani Mapaja mawili ya kuku hayakutoshi...

hahahaha wengine hata home hatuli sana so hata ugenini mtu huwezi kujilazimisha
 
Kuna watu wanajua kuficha makucha na huwa hawatabiriki hata kidogo, pale utakapo jaribu yaoga maji ndipo utakapojuta kuzaliwa
 
Back
Top Bottom