Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,526
- 1,757
Umesomeka bwana Mhando aka Muumini wa Milima ya Moto kwa Mh.Dr.Rev Get-Rude Lwakwatare.Acha kusifia ujinga, wizi wa umeme ni operational risk ambayo iko incorporated kwenye performance ya Tanesco, wizi wa umeme sio unaosababisha Tanesco kushindwa kusambaza umeme kwa wananchi wengi zaidi, hii mambo ya kutaja taja watu majina imeonekana kuwa ni Performance indicator kwa wanasiasa wetu siku za karibuni.
Anaweza kutueleza hao watu wameishachukuliwa hatua gani za kisheria mpaka sasa? kuna taarifa zozote zimetolewa polisi kuhusu wezi hawa? anaenda kuwataja majina bungeni ili iweje? Kwamba senti meris wanaiba umeme, well, umeme kiasi gani wanatumia senti meris zaidi ya kuwasha kwa ajili ya vijana wetu kusoma? au hajui kwamba hata Serikali kutokulipa bili za umeme na bado haichukuliwi hatua zozote zile inasababishwa na conflict of interest? au anadhani hatujui serikali ndio mdeni mkubwa wa tanesco.
waziri anaenda kutaja wezi majina badala ya kutupa realistic road map ya upatikanaji umeme wa uhakika na wa nafuu??