Swala sio ugumu wa maisha,swala ni interest na uzalendo kama kila mtu angekimbia au angekataa kuingia jeshi ingekuaje!!!!! Jaribu kufikiria kwa mapana usikurupuke.
Mimi maoni yangu ni kua,ninaomba muweke branch au ATM Machine huku maeneo ya Mbezi mwisho(Kimara) ili huduma zitufikie kwa urahisi. Pale Kimara Korogwe kuna ATM lakini sidhani kama inafanya kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.