True: Uso kwa uso na nyoka msalani

True: Uso kwa uso na nyoka msalani

Hawa waliotahiriwa hospitalini wana tabu...sisi wa jandoni ndio kwanza ningepiga vigere gere kucheza nae sindimba.......yaani huyo nyoka huko alipo anacheka mpaka kavunjika mbavu....
Hii coment yako imenifanya nicheke zaidi ya huyo nyoka huko aliko.
 
Gari nje
Choo cha shimo a.k.a chubwiiiiii unakiachia unakwepa kidogo vimaji visikurukie.
Anyway uza gari ujenge choo.
 
Wakuu habari za majukumu
Jana mida ya sa 11 jion nimekutana na kimbwanga sio kidogo, nilikua najisaidia chooni (ni cha shimo kipo nje). Ile nimeingia tu kusema nichuchumae nifanye yangu, la haulaaa!!! Kumbe kulikua na nyoka amejificha nyuma ya Mlango sikumbuki rangi yake kutokana na kupagawa ila size yake ya kawaida sio mkubwa kivile . Nilimwona tu akafanya kama anajibana ukutani, mimi nikapiga kelele (mama weeeeeh).. Bahati nzuri hakuniuma ila alirusha kitu kwa juu nadhani ndo sumu yenyewe uzur na yenyewe ikanikosa nilipoona kachelewa timing me huyo ni kakimbia kuelekea nje speed speed..nikaupigiza Mlango japo niliumia kidole kwenye ngazi za kuingilia chooni nikamfungia kwa ndani Muda huo huo kulikuwa na mafundi kwa nje wanatengeneza gari nikawaita haraka tukaue nyoka tumeingia chooni tumemtafuta tumemkosa. Mazingira ya nyumbani sio rahisi kwa kweli nyoka kuingia ndani hata ya get la nyumba. Basi kama unavojua waswahili sisi wapana hatuna dogo wakaja watu tumewaambia wamehusanisha tukio na imani za kishirikina. Nimekosa amani kwa kweli
Wajuvi wa mambo hizo niambieni kama ni tukio la kawaida au laaah
Kinachonisumbia zaid ni jinsi nyoka huyo alivopotea kimagendo. Watu wote tumeshangaa tu najiuliza ina maana karudi ndani ya shimo au na ndipo ilipo maskani yake kwenye kinyesi??????? Maswali mengi no ufumbuzi na Watoto wa nyumbani wameogopa kuingia toilet wanaenda kwa jiran
Kina mshana Jr haya sio mambo yenu kweli ya kigiza giza

Mkuu miaka ya 1992-1993 niliwahi kuishi maeneo ya G/mboto Mzambarauni njia ya kuelekea machinjoni. Pale nyimbani kulikia na MRI wa mkorosho, make Wang alikuwa mjamzito, cku moja asubuhi ameingia chooni akakuta nyoka amejiviringisha kwenye Yale matofali ya kwenye shimo la chooo!! Sikwenda kazini cki hiyo!!!! Nilimwaga galoni nzima ya mafuta ya taa ndani ya like shimo la choo. Then nikachukuwa pangs na kit I, nikaa Mira kama 5 hivi kutoka chooni. Baada ya kama dakika 15 hivi nyoka walianza kutoka chooni mmoja baada ya mwingine!!!! Kazi yangu ilikuwa kuwakata vichwa tu!! Nilikata saba, wakawa wameisha.
 
Safisha mazingira kuzunguka nyumba.
Je jirani zako hawafugi mapori?
Hiko choo mkiweke tiles sio rafiki sana na hao watembelea tumbo

Waweke na ngazi...yaani kisiwe level na ground...
 
Wakuu habari za majukumu
Jana mida ya sa 11 jion nimekutana na kimbwanga sio kidogo, nilikua najisaidia chooni (ni cha shimo kipo nje).

Ile nimeingia tu kusema nichuchumae nifanye yangu, la haulaaa!!! Kumbe kulikua na nyoka amejificha nyuma ya Mlango sikumbuki rangi yake kutokana na kupagawa ila size yake ya kawaida sio mkubwa kivile . Nilimwona tu akafanya kama anajibana ukutani, mimi nikapiga kelele (mama weeeeeh)..

Bahati nzuri hakuniuma ila alirusha kitu kwa juu nadhani ndo sumu yenyewe uzur na yenyewe ikanikosa nilipoona kachelewa timing me huyo ni kakimbia kuelekea nje speed speed..nikaupigiza Mlango japo niliumia kidole kwenye ngazi za kuingilia chooni nikamfungia kwa ndani Muda huo huo kulikuwa na mafundi kwa nje wanatengeneza gari nikawaita haraka tukaue nyoka tumeingia chooni tumemtafuta tumemkosa. Mazingira ya nyumbani sio rahisi kwa kweli nyoka kuingia ndani hata ya get la nyumba. Basi kama unavojua waswahili sisi wapana hatuna dogo wakaja watu tumewaambia wamehusanisha tukio na imani za kishirikina. Nimekosa amani kwa kweli

Wajuvi wa mambo hizo niambieni kama ni tukio la kawaida au laaah
Kinachonisumbia zaid ni jinsi nyoka huyo alivopotea kimagendo. Watu wote tumeshangaa tu najiuliza ina maana karudi ndani ya shimo au na ndipo ilipo maskani yake kwenye kinyesi??????? Maswali mengi no ufumbuzi na Watoto wa nyumbani wameogopa kuingia toilet wanaenda kwa jiran

Kina mshana Jr haya sio mambo yenu kweli ya kigiza giza
Nyie vijana Wa siku hizi oya oya sana sasa kimjusi kimekukatasha haja kweli? Sie wenzenu kibakwe tunalala na anaconda chini ya kitanda bila hofu
 
Nyie vijana Wa siku hizi oya oya sana sasa kimjusi kimekukatasha haja kweli? Sie wenzenu kibakwe tunalala na anaconda chini ya kitanda bila hofu
Hahaha mkuu mpaka sasa hivimchana Hakuna aliyeingia chooni hata mmoja
 
Aisee blaza ulitisha!
Nginjanginja na gogo mpaka kwa mafundi wakusaidie!
Duh kweli nyoka ni laana kabisa!
 
Chukua nguo chakavu zimwagie mafuta ya taa halafu zichome kama yupo atatoka.Pole sana
 
Safisha mazingira kuzunguka nyumba.
Je jirani zako hawafugi mapori?
Hiko choo mkiweke tiles sio rafiki sana na hao watembelea tumbo
Wakati mwingine nyumba inaweza kuwa na tiles na bado nyoka akaingia ndani.....cha msingi asafishe mazingira tu na km kuna uwazi mdogo tu huyo nyoka hawezi kukaa humo nae anaogopa watu........mi wife ameshawahi kupambana nae sebuleni na tiles ilikuwepo kipindi mi nipo kazini.
 
Bora yako kuna mwenzio kachutama nyoka kumbe wanafukuzana basi akatumbukia penye tigo ya jamaa kwa ile taharuki jamaa akawa amembana nyoka kichwa kutoka msalani mbio anapiga kelele asaidiwe watu wakitizama wanamuona jamaa ana mkia basi nao mbio
 
Back
Top Bottom