Recent content by stugex

  1. S

    Uraia Pacha Tanzania: Siasa ya Bernard Membe na hatma yake

    Mapenda nikujibu kwa kiswahili kama utaniruhusu. 1. Katika swala lako la vita kama vikitokea kati ya marekani na Tanzania, jibu lako ni kwamba vivyo vita haviwezi kutokea. Umeuliza "hypothetical queston" kwa hivyo hakuna jibu lake thabiti. 2. Kuhusu "allegiance" au "loyalty" nadhani unatakiwa...
  2. S

    Uraia Pacha Tanzania: Siasa ya Bernard Membe na hatma yake

    Kwanini unamtukana? au umeshindwa kumjibu kwa hoja?
  3. S

    Kama Tanzania inataka kusaidia Congo, isifanye kwa siri

    Angalieni pundili lingine hili!!!! kila kitu shule tuu, kuangalia picha shule...; kufungua dirisha pia twendeni shule,.... kuoga maji ya mvua pia twendeni shule... :ohwell: Unadhania akina profesa mwandosyi na profesa msofe na profe rugemarira wana "relevance" yoyote katika swala hili? Shule...
  4. S

    Kama Tanzania inataka kusaidia Congo, isifanye kwa siri

    Hili jambo kama ni kweli basi inabidi tuwe makini kwa sababu M23 ni jeshi la kagame, Rwanda. Jeshi la kagame lina nidhamu ya hali ya juu na jeshi lenye nidhamu hushinda vita. Hawa wanajeshi wetu wanaopiga raia au kufyatua mitama waislamu wasijidanganye kwamba kwenda kukwaana na Kagame ni kazi...
  5. S

    Kwanini Slaa hashiriki katika vipindi mbalimbali vya TV?

    Kwa sababu hajui kiswahili wala kiingereza, na anapozungumza anachanganya maneno ya kiswahili na kiingereza bila ya kuleta mantiki yoyote. Na ndiyo maana hata chadema wenyewe wakitaka kuzungumza na watu wasiokuwa na asili ya ukanda wa chadema huwa wanamtumia Zitto, na siyo padri weapon.
  6. S

    Malawi, Tanzania border dispute talks fail: Africa ex-presidents to mediate

    On a serious note; this is the legacy of European colonialism. Its in everyone's interest, Tanzania an Malawi, that the matter is resolved diplomatically. We've lived in harmony for a very long time and now that the old colonial masters are involved again in their "oil exploration mission"...
  7. S

    Malawi, Tanzania border dispute talks fail: Africa ex-presidents to mediate

    We are ready for war :target::target::target::target::target::target::target:bring them on :target::target::target::target::target::target::target:
  8. S

    Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

    Zanzibar siyo wabaguzi isipokuwa wanauthamini utamaduni wao na hawataki kulazimishwa tamaduni zisizokuwa zao. Kama ulisoma post yangu nimesema kwamba waunguja na wadarisalama ni ndugu kwa miaka mingi tena kabla ya huo muungano wenu. Na uthibitisho no kwamba Ali Hassan Mwinyi na Aboud Jumbe wote...
  9. S

    Kikwete: Waliochochea ukabila ndio wanachochea udini leo...

    Cheka sana....., kwa sababu comes 2015; utalia tena kama kawaida yenu. "tumeonewa.... tumeonewa...."
  10. S

    Maandamano ya waislamu yazuiwa

    Wakristu hawawezi kuandamana kwa sababu hawajiongozi wenyewe. Ili waandamane inabidi amri au agizo litoke Vatican au Buckinham Palace. Waislamu wanajiongoza wenyewe, na maandamano yao hayaanzii makka wala brazili, isipokuwa yanaanzia wanapoishi waislamu wahusika. Its called "decentralised"...
  11. S

    Swali: Hivi itakuwaje? Chadema 2015 ikashindwa ikashinda CCM

    Kisha wataendelea kupiga mayowe "tumeonewa!!!!!! tumeonewa!!!!!" kama kawaida yao. Atatokea bibi wa loliondo mwingine, atawanywesha maji ya bwana, zitto atafukuzwa rasmi....., basi mchezo kwishnei.
  12. S

    Zamu ya Zanzibar Urais 2015?

    Sisi watu wa Darisalama tuna undugu wa damu wa waunguja, na tumekuwa ndugu kwa miaka mia kadhaa. Muungano ulipokuja umekuta sisi tumeshakuwa ndugu na hakuna Mdarisalama halisi hata mmoja asiyekuwa na ndugu wa damu ambaye ni Muunguja. Sasa basi, kabla hatujawafukuza wazanzibari, tutawafukuza nyie...
  13. S

    Kikwete: Waliochochea ukabila ndio wanachochea udini leo...

    Kelele za vyura hazimzuii Tembo kunywa maji. Hapa ndipo ninapompendea mtukufu rais. Keshafikisha ujumbe maridhawa kabisa; haters wanalalama. Endelea kuongoza taifa baba JK, na 2015 tunamkabidhi nchi Mzanzibari mwenzetu, Dr Shein.
  14. S

    Dr Slaa: Chadema kujenga Mfumo Mpya wa Elimu Mwaka 2015

    Ujinga wenyewe ni kwamba, upuuzi wote huu umetokea katika shule inayoitwa "Queens english medium". Slaa anafaa hata kuwa waziri wa elimu wa uingereza.
  15. S

    JWTZ: Msemaji wa Jeshi, Kanali Mgawe atoa kauli kuhusu Jeshi kulinda amani nchini

    Kivita ? kwani nchi yetu iko vitani? tunapigana vita na nchi gani?
Back
Top Bottom