Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Chadema ya zamani angalau watu walikuwa hawajaifahamu. Atleast sasa hivi watu wameshakifahamu Chadema ni chama cha wakina nani na kina itikadi gani. Sasa hivi kwenye SWOT analysis ya chama tunaangalia tu factors za ndani. Huko nje hatuumii tena kichwa, kazi imekwisha siku nyingi.Kha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaa!!
NA BADO,UTAKUWA OFF KABISA