ABEDNEGO CHARLES
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 567
- 104
Juzi jioni nilimskia waziri wa ulinzi akisema serikali ya Congo imekwisha fanya makubaliano na serikali ya Tanzania kupeleka jeshi lake kuwaondoa waasi wa M23. Sikupata uthibitisho tu kutoka serikali yetu!