Recent content by stricker

  1. S

    Wanawake acheni kuvaa mawigi

    ha ha ha kuna mmoja nilimwona yan kama mpoki vile anajipodoa
  2. S

    Jinsi ya kutumia Tigo pesa code kujisajili TCU

    kuna msg nmetumiwa na TCU,hii hapa chini. . BP150817.2230.J06553, Confirmed 50000.0 received payment for University Admission. Your Voucher Number is RBQEMAUL. Powered by MaxMalipo
  3. S

    Jinsi ya kutumia Tigo pesa code kujisajili TCU

    Habari ndugu, Najaribu kumfanya application ya chuo kupitia TCU, nmeshalipia 50,000 kwa tigo pesa na wanenitumia transaction ID tayari. Tatizo nalokutanalo nikiingia kujisajili TCU wanadai transaction ID ya M-pesa hakuna option ya tigo pesa kwenye registration process,tafadhali mwenye kujua...
  4. S

    Msaada: Kujua kampuni zinazokopesha magari

    Habari wana JF, Mimi ni mwajiriwa katika airline moja hapa Tz, naomba msaada wa kuzifahamu kampuni zitakazo weza kunipatia gari wabaki na original card ya gari then tuingie mkataba wa kuwalipa kila mwezi kiasi tutakacho kubaliana mpaka nimalize kiasi kilicho baki nina milioni tano kama kianzio.
  5. S

    msaada wa kujua kampuni zinazokopesha magari

    habari wana JF, mimi ni mwajiriwa katika airline moja hapa tz, naomba msaada wa kuzifahamu kampuni zitakazo weza kunipatia gari wabaki na original card ya gari then tuingie mkataba wa kuwalipa kila mwezi kiasi tutakacho kubaliana mpaka nimalize kiasi kilicho baki.nina milioni tano kama kianzio.
  6. S

    Wafanyakazi wa Airtel Tz (Customer Care) wagoma kufanya kazi Leo

    Sio airtel staff dirrect, kuna kampuni nyingine huwa zinachukua zabuni ya kuendesha na kusimamia kitengo cha huduma kwa wateja, naifahamu campuni moja inaitwa ya wahindi inaitwa ISON inawahudumia FASTJET pia
  7. S

    Hali ya uke kukauka wakati wa kufanya mapenzi

    Naomba niende moja kwa zote kwenye mada husika.mimi ni me nina mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa takriban mwaka mmoja sasa, kwa kipindi kirefu tuko mbali kwani mimi nipo Dar na yeye ni mwanafunzi mkoani Kilimanjaro. Kwa sasa Yupo likizo Dar, juzi tulipata wasaa panapo 6x6. Baada ya kufanya...
  8. S

    Hisa za kampuni ya sigara

    Naomba kujua mchannganuo wa hisa mpaka mpaka kupatikana faida
  9. S

    Mdahalo wa Katiba uliohairishwa, sasa kufanyika 25/11/2014 katika ukumbi wa Mlimani City, Dar

    Habari wana JF Naomba mwenye taarifa yeyote kuhusu mdahalo wa katiba mpya atujuze kama leo utakuwepo tufanye utaratibu kuweza kufika eneo husika, ASANTE.
  10. S

    Yaliyojiri Ubungo Plaza kwenye Kongamano la iliyokua Tume ya Kukusanya Maoni ya Jaji Warioba

    Makamamnda naomba kujuzwa mdahalo upo leo kwel?
  11. S

    Mbinu Gani ulitumia kumteka mpenzi, aliyesumbua kwenye kumtongoza

    Anakaa mtaa wapili Nilimtongoza akanikatalia katu katu akaapa hawezi kupendana na mimi nilicho fanya nikachunguza weakness yake nikagundua anapenda lift basi nikanunua gari nikawa nampa lift asubuh kuelekea chuoni bila hiyana akanizawadia papuchi, sahv nabembelezwa mie
  12. S

    Ist/runx/allex/spacio new model

    Nafaham mkuu ndio maana nikaamua kuingia darasani kujifunza
  13. S

    Ist/runx/allex/spacio new model

    Hari za mchana wana JF, matumaini yangu mu-wazima wa afya. Ndugu yenu napata kigugumizi katika kuchagua aina ya gari ambayo haita nisumbua kati ya ist, toyota allex/runx au spacio new model tafadhali naomba ushauri wenu kwa wenye kuyafahamu vizur haya magari mimi sina uzowefu wowote kwasasa...
Back
Top Bottom