Recent content by streka

  1. streka

    Mkenya anayehusishwa na ugaidi kwao na wenzake 16 kizimbani Dar

    Nanawajua ni jirani zangu na alovaa kanzu ya choklate ni mesoma nae sek hamamni s
  2. streka

    Mkenya anayehusishwa na ugaidi kwao na wenzake 16 kizimbani Dar

    Uongo hao wote ni wazanzibar tena wanyonge kabisa
  3. streka

    Huu uvaaji mwingine ni biashara mchana kweupe

    Maneno mazima mkuu nikutokujielewa
  4. streka

    King'amuzi chenye Peace Tv

    Utafurahi zaidi chanel zote urdu peace na englishpeace basi usijekere jiunge na ctv cable televition na utaniambia kwanza haigandi
  5. streka

    Nape amechemsha balaaaaa kiteto!!!!!!

    Mimi wakuu naomba anaeweza amfundishe nape kutumia mic ili aeleweke anapoongea nachelea asije siku moja taya zikaganda kwa anavopiga kelele au hajui kama ukionge tu kawaoda sauti inatoka kubwa nachoka kabisa nikimuona anavopiga kelele
  6. streka

    Mbona Al-muntazir na shule za waarabu sijawaona mujibu wa sheria

    Hilo jeshi la Tanzania umemuona nani mweupe sign kubwa JKT uwe black sababu ndo wanaohimili sulubu kuona hamuoni hata kupapasa
  7. streka

    Utafiti: Taifa linaangamia na Ushoga ( Picha )

    Mhhh kazi ipo mungu atunusuru na vizazi vyetu basi na machangu doa pia wakemewe
  8. streka

    Wazanzibar tunataka haki itendeke kwenye mungano.

    Tutulieni jamani watatusoma tu hao watajua mlenda na urojo upi ulokazsna
  9. streka

    Niliyoyaona ubalozi wa Tz UAE yamenishangaza

    Kuna vitu kama hamujui bora msiseme bila kufanya utafiti kwanza kwa sababu sheria haziko hivo mnavodhani nilazima ubalozi wa nchi yoyote ile nilazima reseption akae yule raia wa ile nchi na huyo ulomkuta dubai sio muhindi niwale wadubai pure na ndo mana ukenda balozi zote zilozopoz Tz walioko...
  10. streka

    Wapi kuna taarab leo Jumatano?

    Gusagusa wanapiga mtaa wa kongo pale kuna hotel juu rooftop
  11. streka

    MwanaDiwani na Nape Nnauye Nawaomba hapa...

    Maneno ya lukuvi sawa na lori kubwa mashine ya bodaboda hivi mnajitapa tanganyika kubwa lukuvi uogope zanzibar ndogo si bure kipo kitu ndo mana mkawa mnaing'ang'ania sasa kama mna akili tafakarini.na muulizeni yule sura ya monchwar pinda aliposema zanzibar sio nchi ha ccm wenziwe walimfanya...
  12. streka

    Kigodoro-kantangaze

    Yote tisa kumi muhogo alipomtapeli yule jamaa na kumtia Tanzania jeki mpaka kwake na mkewe akamplipia. Unaona wazi dume likiwa halina kitu mwanamke anafanya anavotaka .hata mtoto naye anakuwa poa kamlainisha baba ake buku tano halaf anamwambia baba mi nna mimba na sijui ya nani hahahaa kazi...
Back
Top Bottom