Chanzo cha tatizo huwa ni kutokuelewana malengo. Ni asili yetu wanaume kujitoa kusaidia/kuwatunza tuwapendao. Shida inakuja pale unakuta unayejitolea kwake kiasi hicho hajui, hapendi, hatambui, au hathamini unachomfanyia halafu na wewe mwanaume unayejitolea kufanya hayo yote hujui hilo...
Hahaha. Kwahiyo huna huruma na Iran kwasababu unaamini Uislamu wa wa Wairani siyo Uislamu wa kweli. Ubaguzi na imani kali za kijinga ndo chanzo cha migawanyiko yenu.
Si mnasemaga kufika kileleni hamfiki kwa kushindiliwa tu mpaka kuvunjwa viuno kwamba mnafika hata mkiguswaguswa tu ili mradi mlipiwe madeni yenu ya vikoba na kuambiwa maneno matamu? Hebu nyoosheni maelezo basi?
Unaweza kuruka majivu ukakanyaga moto. Unaweza kuachana na mtu kwasababu kakunasa kibao ukaenda kuolewa na atakaye kupiga risasi na kukuua papo hapo kama siyo kukuachia kilema cha maisha. I mean you don't necessarily know that your life outcomes are a result of your principles/non-negotiables...
Sina tatizo na mtu kuwa na misimamo. Nakumbusha tu kwamba kuwa na misimamo haimaanishi upo sahihi. Your non-negotiables may as well just be misguided, and may lead to worse life outcomes for you.
Physical abuse is an extreme example. Tuitoe kwenye mjadala. Japo hata physical abuse haimaanishi lazima uachane. It depends. Mke wangu akinirushia glass ya wine kwasababu kalewa simuachi. Nitamshauri tu aache pombe. Ila naweza kumuacha akigoma kutibiwa uraibu wa pombe. You see? Relationships...
Umeongea kitu cha maana sana. It goes both ways.
Aaah wapi. Unakaa upande mmoja sana. Some people change. Halafu hiyo dhana yako ya "non-negotiables" ina uwalakini. Mahusiano yanahusisha compromise kwa sehemu kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.