Mnatuambia tusioe wakati nyie mmo kwenye ndoa, mnamaanisha nini?

Mnatuambia tusioe wakati nyie mmo kwenye ndoa, mnamaanisha nini?


Kama akili zako hazifanyi kazi kwa usahihi au hupendi kuzitumia Sana kuoa sio chaguo sahihi.
Ndoa inahita Akili ili iwe yenye tija.

Anayekushauri usioe huku akijua unaakili zilizotimia ujue yeye hakuwa nazo au alishindwa kuzitumia kisawasawa.

Ni sawasawa mtu akuambie usifanye biashara kisa imemshinda yeye
 
Kama akili zako hazifanyi kazi kwa usahihi au hupendi kuzitumia Sana kuoa sio chaguo sahihi.
Ndoa inahita Akili ili iwe yenye tija.

Anayekushauri usioe huku akijua unaakili zilizotimia ujue yeye hakuwa nazo au alishindwa kuzitumia kisawasawa.

Ni sawasawa mtu akuambie usifanye biashara kisa imemshinda yeye
kuishi na kufanya maisha pamoja nayo inahesabika kama kuoa?
 
kuishi na kufanya maisha pamoja nayo inahesabika kama kuoa?

Unataka kusemaje?
Hiya ndio tafsiri halisi ya kuoa.

No religion
No government

Kuoa ni Makubaliano ya mwanamke na mwanaume kuishi pamoja kama mume na mke. Full stop.

Kuoa ni Jambo la asili. Halitegemei Dini wala serikali
 
Kama unaendesha maisha yako kwa kusikiliza ushauri kutoka kwa watu wengine,basi usioe coz akili yako bado haijakomaa.
 
Unakuta unaenda kwa jamaa yako

Yupo na mke wake,watoto kiufupi ni very lovely family.

Then mmepata dinner anakusindikiza kwenye gari yake anaanza kukuambia mwanangu usije ukaoa.

Hili swala linanichanganya sana.
 
Watoto wanatakiwa kulelewa na wazazi wote wawili, unless kuwe na sababu ya msimgi sana. Malezi ya shangazi/mamdogo au mjomba/bamdogo ambaye yupo single na busy na maisha yake wote tunayajua.

Tusitetee ujinga Lamomy, malezi ya watoto ni magumu kuliko hata kuwatafuta hao watoto, watoto hawalelewi kwa remote, uwepo wa kila siku unatakiwa tena sio wa mzazi mmoja maana balance inatakiwa.

Ila kwa vile kizazi cha nyoka kinataka "easy-go" lazima msimame hapo, mnataka kuzaa na kila mwanaume so lazima muone ndoa sio kitu cha msingi.
Kwahiyo mimi sitakiwi kulea watoto nisiowazaa?? 😹😹

Hivi hao wanawake wanajipa mimba wenyewe? Unakuta mwanaume kadanganya hana mke, kumbe kaacha mke na watoto mkoa X yupo hilo eneo Y kikazi.
Kadanganya binti wa watu anapiga dry kijusi kimetunga, binti anakuja kugundua kazaa na mume wa mtu mtoto kashaanza nursery. Hapo utamlaumu mwanamke au mwanaume? Au wote kwa pamoja??

Wewe zile trip zako za kiofisi unakoendaga hujala mtoto wa mtu dry? 😹😹
Wanaume nyie wanafki sana..!!
 
Back
Top Bottom