Strategist7
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 302
- 474
Why?Kwa dharura Sana Sana!
Why?Kwa dharura Sana Sana!
A lot of limitationsWhy?
naam comments nazo zinashangaza sanaUnazungumzia kukala au kuishi ukweni?
Suala la kulala lina shida gani wakati ushakuwa mtoto mwenza wa hiyo familia?
Kama nipo safari ya kikazi nikafika kulala kwa wakwe usiku mmoja inakuwaje?Ukweni unaenda for a reason, tena hiyo sababu ikiisha ondoka haraka. Sababu iwe msiba au sherehe!!
Unawazungumziaje wanaoishi na wakwe zao wa jinsia tofauti? By the way nina jamaa yangu anaishi na mkwe. Anasema hapendi ila kazoea na life linasonga. Life is a dance you learn as you go.A lot of limitations
A lot of restrictions
Japo kuna kukosa uhuru fulani lakini akiishi kwako sio ishu sana! Sio wewe kwenda kuishi kwaoUnawazungumziaje wanaoishi na wakwe zao wa jinsia tofauti? By the way nina jamaa yangu anaishi na mkwe. Anasema hapendi ila kazoea na life linasonga. Life is a dance you learn as you go.
Got it.Japo kuna kukosa uhuru fulani lakini akiishi kwako sio ishu sana! Sio wewe kwenda kuishi kwao
Labda wewe unaweza, mimi sitafanya hivyo, nitasalimia na kuondoka.Kama nipo safari ya kikazi nikafika kulala kwa wakwe usiku mmoja inakuwaje?
Bahari wa Meli ya Jack Sparrow😀😀😀Mke miguno kama yote ukweni😀😀😀Oya Mkuu unakunywa nini???Ndiyo ni sahihi,na huwa inanoga sana kumlala mkeo nyumbani kwao.
Hakuna shida tatizo lipo kwenye mitazo ya wengine kama utakuwa mtu wa kujali watu wanasema niniWakuu
Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa katika mila na desturi za Kiswahili, kuna maadili yanayoongoza mahusiano kati ya mwanaume, mke na familia ya mke.
Wapo baadhi ya watu wanaona kuwa si sahihi kwa mwanaume kulala ukweni na wengine wanaona hakuna shida yoyote.
Tuzungumze kidogo kama ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni
Hilo jambo halina shida yoyote.Kulala ni kawaida. Mfano mimi nikienda kusalimu kijijini, hupanga ratiba: usiku mmoja lazima nilale kwa wakwe. Hii ratiba hufahamika angalau miezi miwili kabla ya safari. Huu ni mwaka wa 15….ipo hivyo na itaendelea hivyo.
Hata kwenye msiba nenda siku wanazika then SepaMwanaume kulala ukweni sio sahihi sana kama hakuna ishu ya kijamii (Sherehe,Msiba, Magonjwa).
Ukweni unatakiwa uende na kisha uondoke, kulala sio kosa ila pia sio jambo jema sana.
Be a Man, hakikisha timetable yako hairuhusu ulale Ukweni.
Nisikilizeni mwanaume wa ukweli hakai ukweni
Hii kila siku unasisitiza bwashee, comment yako ili paswa iwe front page kabisa😁Nisikilizeni mwanaume wa ukweli hakai ukweni
Nita anzisha uzi leo.Hii kila siku unasisitiza bwashee, comment yako ili paswa iwe front page kabisa😁
Kabisa mkuu , muhimu tu isije kuungwaNita anzisha uzi leo.
NaamKabisa mkuu , muhimu tu isije kuungwa
Aisee 😂🤣🙌🙌imeshindikana hiiKutiana ni sehemu ya ndoa na kwakuwa mmehalalishwa kutiana ni wajibu,hivyo kutiana ukweni ni muhimu na kuna ladha fulani ambayo mnapotiana ukweni unaipata na hata maongezi yenu wakati mnatiana yata akisi ukweli kwamba mnanyanduana ukweni,na hasa wewe mwanaume lugha yako wakati tendo linaendelea ni kumkumbusha mwenzio kuwa unamnyandua ukweni,naye mweza wako anakuitikia nyandua baba nyandua,maana hatacwazazi wangu wanajua saa hizi unaninyandua