Eeeeeee kila mbuzi ale kutokana na urefu wa kamba yake, maana sisi ndio wajinga, mpaka pale mabichwa yetu yatakapotoka uzombi, mtani kukavuuu, watu wanapiga MABILIONI ya hela, ikifika uchguzi vaa dira la kijani au T-shirt ya kijani upumbazike
Kuna single mother wawili wanataka ndoa na mm kwa nguvu, yaani wao akili yao ni kufunga ndoa nao, ila roho inanisuta kwa kweli maana baba za hao watoto wakiamua muda wowote wanakuja kula kiporo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.