Recent content by STRAGGLE MAN

  1. STRAGGLE MAN

    Tupeane mbinu mbalimbali za kuwadhibiti nyoka wanaoingia majumbani mwetu

    Pilipili hoho au zile fupi fupi za kijani na nyekundu zinazowasha sana but unapochoma usikae ndani coz ni kama zaidi ya dawa ya mbu inapalia sana
  2. STRAGGLE MAN

    I am looking for friends

    Wanakuja soon
  3. STRAGGLE MAN

    VP Samia Suluhu: Serikali ipo tayari kukosolewa na madhehebu

    Munatafta sababu ya kuwafilisi watu na kuwaita magaidi??
  4. STRAGGLE MAN

    Sauti Kubwa: Ndugai akuza deni la matibabu nje ya nchi adaiwa kulamba milioni 500 ndani ya miezi mitano

    Eeeeeee kila mbuzi ale kutokana na urefu wa kamba yake, maana sisi ndio wajinga, mpaka pale mabichwa yetu yatakapotoka uzombi, mtani kukavuuu, watu wanapiga MABILIONI ya hela, ikifika uchguzi vaa dira la kijani au T-shirt ya kijani upumbazike
  5. STRAGGLE MAN

    Tupeane mbinu mbalimbali za kuwadhibiti nyoka wanaoingia majumbani mwetu

    Pilipili inafukuza nyoka na wadudu wengi tu wa atari.
  6. STRAGGLE MAN

    Nimeamua kumuacha sababu siwezi kuingia gharama za kumsomeshea mwanae wakati babaake anadunda mtaani

    Kuna single mother wawili wanataka ndoa na mm kwa nguvu, yaani wao akili yao ni kufunga ndoa nao, ila roho inanisuta kwa kweli maana baba za hao watoto wakiamua muda wowote wanakuja kula kiporo
  7. STRAGGLE MAN

    Trump Ataka Urusi Irejeshwe G8

    Hawawezi kuishi bila ya urusi, wamesahau kuwa Ukraine [emoji1255] ilikuwa Russia [emoji635]
  8. STRAGGLE MAN

    Mke wangu hanitaki

    KAZA ROHO MEZA FUPA, muache alaf kaowe mwengine maisha yaendelee
  9. STRAGGLE MAN

    Wapiga punyeto wote ni madomo zege

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom