radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,193
Kwa mfano kuna mbunge kama Livingston Lusinde, Mama Salma Kikwete na Naibu Spika ndugu Tulia Akson hao ni baadhi tu hadi muda huu sijaona michango yao yenye tija kwa Taifa zaidi ya kuitumia pesa ya mlipa kodi vibaya kwa posho na mishahara wanayolipwa hawana tofauti na watumishi hewa.
Lusinde hata anachosimamia hakieleweki yeye kazi yake kashfa tu ktk jimbo lake la Mtera raia wake wapo hoi mno.
Huu uzi uwe special kwa wabunge wafanya madudu tunawaona sana tu na sarakasi zao.
Nikikumbuka Lissu na kambi nzima ya upinzani walivyopinga Sheria ya mafuta na gesi kupitishwa bila kupatiwa muda wa kusoma wakina Lissu walilazimika hadi kutoka nje lakini CCM walipitisha sasa hivi wanajidai kuhuzunika juu ya hiyo mikataba ya hovyo.
Nitaendelea kuwaleta tu
Lusinde hata anachosimamia hakieleweki yeye kazi yake kashfa tu ktk jimbo lake la Mtera raia wake wapo hoi mno.
Huu uzi uwe special kwa wabunge wafanya madudu tunawaona sana tu na sarakasi zao.
Nikikumbuka Lissu na kambi nzima ya upinzani walivyopinga Sheria ya mafuta na gesi kupitishwa bila kupatiwa muda wa kusoma wakina Lissu walilazimika hadi kutoka nje lakini CCM walipitisha sasa hivi wanajidai kuhuzunika juu ya hiyo mikataba ya hovyo.
Nitaendelea kuwaleta tu