Recent content by Stonembag

  1. S

    Tetemeko laipiga Morocco, zaidi ya Watu 2000 wafariki Dunia, majeruhi waongezeka

    Polen sana Morocco.Hivi wanaweza kuwepo humu japo wachache?
  2. S

    DOKEZO Responded DAWASA Kibaha Wamesitisha Huduma ya Kuunganisha Maji kwa Wateja wapya

    Jamaa ni wahuni sana.Wanadai.vifaa hakuna hizo hela anazolipa mteja si ndio za kununulia vifaa sasa wanapeleka wapi
  3. S

    Mwanza: Amchoma mkono Mwanaye kisa kudokoa Chainizi

    Angeuwawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali.
  4. S

    Baba adaiwa kumuuza mtoto, asafirishwa kwenda Canada, mama abaki analia akizunguka kuomba msaada

    Watu mnamlaumu mama.Kama hao watu wahind na baba wangekuwa na nia njema kwa pamoja wangechukua muda kukaa na mama kumuelemisha faida zote za hiyo issue.Lakn pia hata huko kwenye taasisi za serikal mama angeitwa kuelimishwa.Lakn hiki walichofanya sio kitu kizur.
  5. S

    TANZIA Karatu: Padri Pamphilius Nada auawa na mtu anayedhaniwa kuwa na changamoto ya afya ya akili

    Sema sasa wananch nao wanamuuaje mtu mwenye afya ya akil.Over!
  6. S

    Kenya: Padri afia hotelini akiwa na Mwanamke anayehisiwa kuwa mpenzi wake

    Jina la mwanamke limekosekana?? Anyway polen wafiwa.
  7. S

    Update: Muuguzi mlevi aliyetuhumiwa kumbaka mjamzito wodini aachiwa huru

    Kala tamu ya baba K.daa jamaa hovyo sana !! Hebu mjamzito na mtoto wapimwe km kuna maambukizi yoyote.Mana huko bar alikotoka nako ukute huwa anachukua UTI sugu.
  8. S

    Mama adai kubadilishiwa mtoto hospitali. Alijifungua wa Kiume, akapewa wa Kike alifariki

    Hao mahudumu wa hiyo hospital wanaleta mambo ya kwenye tamthilia mbona
  9. S

    Mchungaji Msigwa: Bweni ifutwe kwa shule zote za Msingi, Sekondari na High School ili kuwaepusha Wanafunzi na Mapenzi ya Jinsia Moja!

    Kwa secondary ziachwe bweni .Kwasababu ni vizur mtoto akifika umri wa miaka 14 akakae bwen angalau aanze kujifunza maisha ya kujitegemea!!tukikaa nao sana nyumban tutaendelea kuzalisha marioo wengi.
  10. S

    FT: US Monastir 2-0 Yanga SC || CAFCC || Rades, Tunis || 12-02-2023

    Ungejibetia zako ukapata hela ya supu kesho kaka
  11. S

    Ni kweli huko Dar es Salaam huwezi kupata nyumba ya kupanga bila dalali?

    Ha haha ha yan nyumba yake bado anataka na cha udalali daaaa
  12. S

    SI KWELI Midomo ya mwanamke ina uhusiano na ukubwa wa uke wake

    Daaaa hii dunia ni ngumu sana!!!
  13. S

    RC Mara awaondoa Makatibu wa Wabunge kwenye Kikao, adai wao si Wajumbe wa Kikao hicho

    Hivi Zoez la kuwapa wanajesh mikoa yote litakamilika lini?
Back
Top Bottom