Recent content by stoneman

  1. stoneman

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015: Tanzania ijifunze toka Mdahalo wa Kenya!

    .........,hii debate inawasaidia nini wakenya angalia Uhuru anavyojibu vizuri lakini mikenya ilivyo lazima imchague Odinga miafrika mijinga sana
  2. stoneman

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015: Tanzania ijifunze toka Mdahalo wa Kenya!

    sasa debate inasaidia nini?wewe unafikiri ni wakenya wangapi wana TV za kuangalia debate na hata kama wana TV unafikiri wangapi wanajua kiingereza Lugha inayotumiwa hapo? Acha ulimbukeni hiyo haiwasaidii kitu zaidi ya yote wanauza sura tuu na wanamuiga Obama
  3. stoneman

    Elimu ya Nape Nnauye

    Njaa ndio inamfanya awe alivyo ila kiukweli ana akili za kutosha ndio maana ndani ya chama chake yeye ndio kinara wa kusema kwa sababu anawazidi wote,ila zingatia kuwa Nape sio mtoto wa Mzee Nnauye na kwa vyovyote ana mzigo wa kulisha tumbo lake na la watoto na wake wa baba yake mlezi maana baba...
  4. stoneman

    Elimu ya Nape Nnauye

    Riz One ni kilaza na hawezi kujibu chochote kwani kama sio Beno Malisa kumsaidia pale UDSM asingemaliza na hata sasa anamtegemea sana Beno kumuandikia barua za kiingereza hata nje ya nchi anakwenda na Beno na ndie msemaji wake yeye anajua hi na how r u too mengine Beno ndio anajibu ,Bila Beno...
  5. stoneman

    Elimu ya Nape Nnauye

    Mimi nilisoma na Nape alikuwa na akili sana na alifaulu vizuri sio kwa viwango vya A 9 kama Mnyika ila sio mbulula kama Mulugo wala sina wasiwasi na hilo,namsubiri aje kusema mwenyewe ila asipojibu naweza kuwasaidia
  6. stoneman

    Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

    duuu napiga picha hicho kichwa ulichompa huyo njemba inaonekana kilikuwa cha ukweli maana hapo ungezubaa tuu ungefanywa vibaya
  7. stoneman

    Siri ya Coca-Cola yafichuka

    Mbutaaaaaaaaaaaa nyo muwananzi naiyoooo
  8. stoneman

    CHADEMA mmejifunza nini kwenye mkutano wenu Temeke

    malengo gani hayo yaweke wazi labda una neno ,au ulifikiri jana tunaingia Ikulu moja kwa moja??
  9. stoneman

    Mchungaji Josephat Mwingira na ufisadi wa Viongozi Tanzania

    huyo sio leo tuu muda mrefu anawachana sana
  10. stoneman

    TUNAMTAKA MKEO! Ndo habari ya mujini kwa sasa...

    una hakika au mbwembwe tuu
  11. stoneman

    Utalii wa ngono waingia na kushamiri nchini

    nielekeze specific wanapatikana maeneo gani nitie timu hao wanakuwaga na utamu wao aisee ogopa''
  12. stoneman

    Mbatia akabidhiwa Mitaala FEKI

    wamemalizaje sakata hili??
  13. stoneman

    tofauti ya institute and university??

    umemaliza la saba mwaka gani??
  14. stoneman

    Dr. Kigwala amtaka Mbatia kujiuzuru ubunge

    hapo ndio utaona jinsi Raisi anavyoteua watu wakuiua CCM
Back
Top Bottom