Manase Anthony
Member
- Jan 30, 2013
- 16
- 0
Oya kulist xiomishe,mm naona hata hiyo fursa itolewe ila uwepo utaratibu mwingine.
Nyie madogo presha za nini bado mapema tokeo linatoka mwezi wa 5 mtaobahatika advance mtakuja mwezi wa 7, so tulizeni wenge
Matokeo ya kidato cha nne kwa mitihani iliyofanyika October mwaka jana yanakaribia kutoka. Katika matokeo hayo ambayo vikao vyake vya mwisho ndio vinafanyika,ufaulu umnaonekana kushuka.Nyaraka zinaonesha kuwa Shule za Seminari,kama ilivyo ada,zinaoongoza.Baadhi ya Shule za Serikali zinajikongoja ingawa ufaulu katika Shule zetu za Kata ni wa utata mtupu.
Matokeo hayo ambayo nimefanikiwa kuyachungulia kiintelijensia yanaonesha kuwa wanafunzi wa Sayansi ndio waliofaulu zaidi ya wale wa masomo ya Sanaa. Wasichana,katika ufaulu wa kitaifa,wameng'ara kuliko wavulana. Hali katika Shule zetu za Serikali hasa za Kata si nzuri hata kidogo. Yakitoka,hapatatosha!
Matokeo hayo yanatarajiwa kutangazwa muda wowote hasa kuanzia tarehe 1/2/2013.
ANGALIZO: Siwezi kutaja kwa majina Shule za kwanza na za mwisho na wanafunzi wa namna hiyo kwakuwa matokeo rasmi hutangazwa na Serikali.
Sasa kama umechanganyikiwa matokeo yatakusaidia nini?Maana sehemu unayotakiwa kuwepo saa hizi ni milembe.Eti ni kweli matokeo yanatoka leo? Na yanaweza kutoka saa ngapi? Naomba mniambie kama mnajua.:A S cry:Wengine tushachanganyikiwa.