kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Nchi hakuna hapa,ujinga mtupu.hv maDR na PROF huko bungeni hawajui mtaala au mitaala ni nn? Prof kahigi sema neno moja tu
Una hakika ni feki au Ushabiki tuuuu??????
Inawezekana wewe ndo waleta ushabiki hapa.. Yeye ameandika alichokisema Mbatia.. Hajaongeza cha kwake..
Nimeshiriki kuandaa mitaa mingi, siami hivi tuvijatabu tunaweza kuwa mitaala ya chekechea mpaka form six, haswa kwa CEBET system. Hataaaaaa. Kitabu hicho kimoja kinaweza kuwa mtaala wa chekechea, na cha pili labda kwa darasa la kwanza. Nahisi tunachanganya kati ya Curriculum na Syllabus. Watanzania tuwe makini na hili suala.
Situation analysis (though this may a separate document)
Principal learning out come
Sub enabling outcome
Related tasks
Assessment methods
Assessment instrument
Bench-marking of assessment criteria
Assessment criteria
Marks distribution
Description of courses
Reference materials
I find it hard to have less than forty pages for each class
Kama mnataka kuona mfano nendeni VETA au NACTE, mtaikuta. Na hifichwi kabatini, inatakiwa itumike na walimu na wakaguzi
Ohhh my Gog bless this country.
tatizo wizara ya elimu walishafanya mitaala kama biashara.. . kila waziri anakuja na yake..
wengine walikuwa hawajui hata ethics za elimu..
tusubiri mapinduz ya elimu.
Hii nchi kila kitu ni Feki! Ndege ya Raisi Feki! Rada Feki!Mitaala Feki!Madaam Spika Feki! Raisi wa nchi naye........... AAH mimi nachoka sana!
Una hakika ni feki au Ushabiki tuuuu??????
Hana mumeHivi huyu spiker wa bunge ana watoto/mtoto?Hivi kwanini wabunge wa Ccm wanapenda kuona Taifa linaangamia?Hivi watanzania wamewakosea nini mpaka watuburuze kwa kiwango hiki?Lakini naamini siku inakuja mtakapo weka sawa akili kwa kushuhudia mkienda mahakamani kwenye machela kama Hosn Mubaraka..Huna hata aibu wewe Spiker.
Wakati kwa wenzetu SIASA hutumika kuamua mustakabali wa nchi na watu wake, kwa Watanzania, siasa hutumika kuvuruga mstakabali wa nchi na watu wake. Ni aibu na fedheha kubwa sana.Nimeshiriki kuandaa mitaa mingi, siami hivi tuvijatabu tunaweza kuwa mitaala ya chekechea mpaka form six, haswa kwa CEBET system. Hataaaaaa. Kitabu hicho kimoja kinaweza kuwa mtaala wa chekechea, na cha pili labda kwa darasa la kwanza. Nahisi tunachanganya kati ya Curriculum na Syllabus. Watanzania tuwe makini na hili suala.
Situation analysis (though this may a separate document)
Principal learning out come
Sub enabling outcome
Related tasks
Assessment methods
Assessment instrument
Bench-marking of assessment criteria
Assessment criteria
Marks distribution
Description of courses
Reference materials
I find it hard to have less than forty pages for each class
Kama mnataka kuona mfano nendeni VETA au NACTE, mtaikuta. Na hifichwi kabatini, inatakiwa itumike na walimu na wakaguzi
Ohhh my Gog bless this country.
Hivi huyu spiker wa bunge ana watoto/mtoto?Hivi kwanini wabunge wa Ccm wanapenda kuona Taifa linaangamia?Hivi watanzania wamewakosea nini mpaka watuburuze kwa kiwango hiki?Lakini naamini siku inakuja mtakapo weka sawa akili kwa kushuhudia mkienda mahakamani kwenye machela kama Hosn Mubaraka..Huna hata aibu wewe Spiker.
Hii nchi kila kitu ni Feki! Ndege ya Raisi Feki! Rada Feki!Mitaala Feki!Madaam Spika Feki! Raisi wa nchi naye........... AAH mimi nachoka sana!
Nimeshiriki kuandaa mitaa mingi, siami hivi tuvijatabu tunaweza kuwa mitaala ya chekechea mpaka form six, haswa kwa CEBET system. Hataaaaaa. Kitabu hicho kimoja kinaweza kuwa mtaala wa chekechea, na cha pili labda kwa darasa la kwanza. Nahisi tunachanganya kati ya Curriculum na Syllabus. Watanzania tuwe makini na hili suala.
Situation analysis (though this may a separate document)
Principal learning out come
Sub enabling outcome
Related tasks
Assessment methods
Assessment instrument
Bench-marking of assessment criteria
Assessment criteria
Marks distribution
Description of courses
Reference materials
I find it hard to have less than forty pages for each class
Kama mnataka kuona mfano nendeni VETA au NACTE, mtaikuta. Na hifichwi kabatini, inatakiwa itumike na walimu na wakaguzi
Ohhh my Gog bless this country.
Hivi huyu spiker wa bunge ana watoto/mtoto?Hivi kwanini wabunge wa Ccm wanapenda kuona Taifa linaangamia?Hivi watanzania wamewakosea nini mpaka watuburuze kwa kiwango hiki?Lakini naamini siku inakuja mtakapo weka sawa akili kwa kushuhudia mkienda mahakamani kwenye machela kama Hosn Mubaraka..Huna hata aibu wewe Spiker.[/QU
Ungeanza kuuliza kwanza,hivi ana mume?
Hivi huyu spiker wa bunge ana watoto/mtoto?Hivi kwanini wabunge wa Ccm wanapenda kuona Taifa linaangamia?Hivi watanzania wamewakosea nini mpaka watuburuze kwa kiwango hiki?Lakini naamini siku inakuja mtakapo weka sawa akili kwa kushuhudia mkienda mahakamani kwenye machela kama Hosn Mubaraka..Huna hata aibu wewe Spiker.[/QU
Ungeanza kuuliza kwanza,hivi ana mume?
Hata kama ana watoto unafikiri wanasoma hapa??hapa wanasoma watoto wetu walala hoi tusio na hela za kuwapeleka Ulaya na Amerca ndio maana MACCM wengi wanaitetea serikali ili iendelee kututesa na watoto wetu waendelee kuwa mambumbumbu wawatawale leo na kesho tukiwa hatupo