Habari wanajamii. Natumai mnaendelea vizuri ikiwa ni pamoja na kusheherekea sikukuu ya x-mas.
Naomba niweke mada yangu jukwaani. Je ni sahihi kuoa mwanamke ambaye tayari alishazaa na mwanaume mwengine?
Nina rafiki yangu kazini aliwahi kunipa tathmini baada ya research yake ndogo tu.
Aliniambia “mdogo wangu unajua sisi waenda kwa miguu tunatumia gharama nyingi sana mpaka ufanikiwe kumshawishi mwanamke na kumnasa mtegoni. Akasema tazama watu wenye magari, huwa hawatumii nguvu hata kidogo...
Kwani vijana wa arusha wenyewe wanatokeaje kwenye picha..??????
Nikiwa kama mmoja wa matomaso naomba utuoneshe japo picha kadhaa za wamarekani weusi waishio arusha,
Ifike wakati JF wawe na jukwaa maalum la watoto wadogo kusudi nao wapate kupost mada zao.
“Hivi yule mwenzetu aliyechomwa moto ndani ya nyumba akapoteza uhai atasemaje huko alipo muda huu kama hujui maana ya kutendewa ukatili”
Pole sana ndugu.
Binafsi ni muhanga wa hilo pia.
Ni bora upitie maumivu makali ya muda mfupi kuliko kuja kukosa furaha ya muda mrefu.
Yatapita hayo na utakaa sawa.
Najua upo kwenye mtihani mkubwa mno ndugu yangu. Linapokuja suala la kujihusisha na mahusiano ya watu huwa jambo zito sana.
Nakumbuka miaka mitatu iliyopita nilirudi nyumbani kutoka kwenye pirika zangu ikiwa yapata majira ya saa nne usiku. Bahati mbaya sikutoka na funguo ya geti hivyo...
Nashukuru sana ndugu yangu kwa elimu nzuri uliyowasilisha jukwani kulingana na ushuhuda na uzoefu wako ulionao.
Binafsi nimejifunza mambo mazuri kadhaa kutoka kwako leo hii. Sababu hata nami pia kwa namna moja au nyingine nimeshakuwa mhanga kwa vipindi tofauti hasa kuonyesha shukrani kwa jambo...
Ndugu umenikumbusha miaka minne iliyopita nikiwa naishi maeneo ya mbezi beach pale makonde. Kuna binti alikuja kuishi kwa aunt yake baada ya kuhitimu masomo yake ya chuo kikuu. Baada ya kumuona na kujua alipokuwa akiishi nilianza kumfatilia kwa karibu kwa muda mrefu usiopungua miezi tisa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.