Naombeni ushauri nimemfumania shemeji yangu

Mwanaume rafiki yake ni Mwanaume mwenzake, Huyo kiumbe unayemzungumzia ni Mungu pekee ndo anaweza kuishi nae
 
Wewe mwambie jamaa yako, au unataka siku umpelekee machungwa na matunda mengine ya kukuza afya akiathirika.....

Alafu vipi kama mke wake anampango wa kumuua jamaa yako akaishi na huyo mchepuko?

Vipi kama mke ampe watoto 5 jamaa wasio wakwake utajisikia vipi, wakati ukweli wote wa kumuokoa ulikuwa nao

au utajisilia vipi mke akimuiniza jamaa tena mkenge akasema anadaiwa mil 15++ akaenda mpa huyo mchepuko

Biblia inasema mwanamke msaliti hapaswi kuishi, tuishi humo
 
Habari Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.

Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once changamoto za kimaisha zinapo arise.

Nimeishi vizuri Sana na huyu rafiki yangu tena kwa ukaribu Sana tukiwa mtaa mmoja. lakini kwa Sasa tupo mbali kwa maana ya distance lakini urafiki wetu bado upo na unakua siku Hadi siku.

Huyo rafiki yangu ni mtumishi wa taasisi Y wakati mke wake naye ni mtumishi wa taasisi W (mwanamke ni mtu wa kusafiri Mara kwa Mara kwa nature ya kazi yao).

Sasa week chache zilizopita nikiwa kwenye Moja ya group la WhatsApp linalodeal na ndoa.

Ghafla nikaona picha ya Shemeji yangu akiwa huged na jamaa Fulani imetumwa kwenye group na jamaa.

Kwa Sababu namfaham nilishtuka Sana nikafuatilia vizuri nani ametuma Ile picha, nikapata kumfaham. nikiwa najiuliza maswali na kutafakari.

Moja ya member katika hilo group aliuliza kwa kumtag mtu aliyetuma Ile picha,,, Boss huyo mwanamke ni mkali Sana ni wa wawapi...?

Jamaa akajibu ni wa mkoa X, alipo taja mkoa kwangu maumivu makali Sana yalikuwa upande wangu as if Mimi ndiye nasaritiwa.

Why niliumia Sasa Mimi wakati sio mke wangu amefanya hivyo?

Kama nilivyosema awali mume wa huyo mwanamke ni rafiki yangu Sana na tumepitia mengi Sana pamoja so ni Kama ndugu yangu tu kwa Sasa.

Huyo Shemeji kabla ya kuwa na rafiki yangu alikuwa na mahusiano na jamaa mmoja ambaye alikuwa na kesi. Yule jamaa akamkopa mwanamke pesa akimuahidi atamrudishia kumbe dhamira yake ni kumtapeli mwanamke na kweli mwanamke alikopa pesa kwenye Vikoba na akachukua mkopo benk then akampa jamaa apeleke kwenye kesi aliyokuwa anakabiliwa nayo.

Kumbe jamaa alifake na kutengeneza matukio ili apate pesa Wala hakukuwepo na kesi halisia Bali ilikuwa ni mipango iliyofanywa na Wakili asiyekuwa mwaminifu.

Basi mgogoro mkubwa ukaibuka mpaka mahusiano yakavunjika.

Ndipo huyo mwanamke akaanza mahusiano na rafiki yangu, kwa Sababu rafiki yangu ni ndugu yangu the way tulivyishi akamtambulisha kwangu yule mwanamke then maisha yakaendelee.

Ila kabla hatujua kuwa mwanamke alikotoka alikuwa na mzigo wa mikopo.

Kuna siku nilimuuliza rafiki yangu unaijua background ya huyo mwanamke ? Akasema hapana hakujua nilimshauri afuatilie kweli anagundua kuwa mwanamke yupo single kwa siku 25.

Hiyo taarifa ilinishtua kidogo na kunipa maswali inawezekanaje mwanamke aliyeumizwa Sana hajapata muda wa kutafakari anaanzisha mahusiano mapya ndani ya muda mfupi hivyo?

Seriously nilihisi hapo Kuna kitu zaidi kinatafutwa sio upendo, nikutaka kumhoji Sana rafiki yangu nilimwambia tu awe makini sana, Basi maisha yakaendelea Kama kawaida.

Miezi kadhaa badaye nikaona rafiki yangu anahangaika Sana kutafuta pesa ikionyesha ana uhitaji mkubwa Sana wa pesa isivyo kawaida yake.

Kama tujuavyo ukitaka kumjua mtu kaa karibu naye so kwa ukaribu niliokuwa nao kwa rafiki yangu niligundua jamaa ana matatizo.

Nikaomba kuongea naye bila hiana akafunguka yote A to Z kuhusu Shemeji na mikopo aliyochukua benk na kwenye vikobo ilikuwa mikopo iliyokuwa kiasi kwamba mshahara wote ulikuwa unakatwa huko huko, huku wa Vikoba nao wakiwa wanamsumbua sana.

Basi nikaingiwa na hurumu Sana kumuona rafiki yangu anateseka vile Kuna kiendo tulinunua eneo la pamoja kwa lengo la kujenga fremu za biashara Kisha tugawane fremu.

Rafiki yangu akaniomba kuuze ili ipatikane pesa ya haraka kuclear mikopo ya Shemeji.
nampenda Sana rafiki yangu, nilikubali kufanya hivyo.

Tukauza tukaclear mikopo yote ya Shemeji maisha yakaendelee.

Mimi nikapata Safari ya kikazi kwenda nje ya Tz. Wakati nasafiri rafiki yangu alikuwa kwenye process za mwisho kabsa za kumuoa huyo Shemeji yangu.

MUNGU saidia kweli alifanikisha na Mambo yalienda vizuri kabisa thou niliumia kutohudhuria harusi ya rafiki yangu lakini sikuwa na namna majukumu ya kazi yalinibana Sana.

Yapata miaka miwili Sasa sijaonana live na rafiki yangu japo tunawasiliana vizuri na Kama Kuna changamoto tunashirikishana ingawa Kuna mazingira nakuwa nipo mawasiliano yanakuwa hamna kabisa mwezi mzima au zaidi.

Mpaka hapa mtakuwa mmeelewa kwanini naumia Sana kuona huo usariti.

Sasa turudi kwenye group la WhatsApp,

Baada ya kuona Ile picha ya mke wa rafiki yangu nikataka evidence juu ya lile Jambo, kweli nilipata evidence zote zikiwemo videos.

Kumbe Mwanamke anamuaga Mwanume kuwa waenda kikazi kwenye mkoa huo lakini kumbe anaenda kwa mwanaume mwingine(mchepuko).

Kusema kweli tangu nione usariti ule nimejikuta sipo sawa kabisa naumia Sana maana rafiki yangu amehangaika Sana na kuhairisha Mambo yake mengi ili tu kuweza kumsaidia mwanamke pamoja na familia ya mwanamke.

Hapa napambana na nafsi mbili

Moja inaniambia nimwambie rafiki yangu ....na nafsi nyingine inasema nisimwambie ...

Tafadhali naombeni ushauri wenu wana jamvi nifanye nini nampenda Sana rafiki yangu

Nakuja kwenu kupata ushauri mpana zaidi.
Hebu kwanza hizo videos tuzione
 
Habari Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.

Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once changamoto za kimaisha zinapo arise.

Nimeishi vizuri Sana na huyu rafiki yangu tena kwa ukaribu Sana tukiwa mtaa mmoja. lakini kwa Sasa tupo mbali kwa maana ya distance lakini urafiki wetu bado upo na unakua siku Hadi siku.

Huyo rafiki yangu ni mtumishi wa taasisi Y wakati mke wake naye ni mtumishi wa taasisi W (mwanamke ni mtu wa kusafiri Mara kwa Mara kwa nature ya kazi yao).

Sasa week chache zilizopita nikiwa kwenye Moja ya group la WhatsApp linalodeal na ndoa.

Ghafla nikaona picha ya Shemeji yangu akiwa huged na jamaa Fulani imetumwa kwenye group na jamaa.

Kwa Sababu namfaham nilishtuka Sana nikafuatilia vizuri nani ametuma Ile picha, nikapata kumfaham. nikiwa najiuliza maswali na kutafakari.

Moja ya member katika hilo group aliuliza kwa kumtag mtu aliyetuma Ile picha,,, Boss huyo mwanamke ni mkali Sana ni wa wawapi...?

Jamaa akajibu ni wa mkoa X, alipo taja mkoa kwangu maumivu makali Sana yalikuwa upande wangu as if Mimi ndiye nasaritiwa.

Why niliumia Sasa Mimi wakati sio mke wangu amefanya hivyo?

Kama nilivyosema awali mume wa huyo mwanamke ni rafiki yangu Sana na tumepitia mengi Sana pamoja so ni Kama ndugu yangu tu kwa Sasa.

Huyo Shemeji kabla ya kuwa na rafiki yangu alikuwa na mahusiano na jamaa mmoja ambaye alikuwa na kesi. Yule jamaa akamkopa mwanamke pesa akimuahidi atamrudishia kumbe dhamira yake ni kumtapeli mwanamke na kweli mwanamke alikopa pesa kwenye Vikoba na akachukua mkopo benk then akampa jamaa apeleke kwenye kesi aliyokuwa anakabiliwa nayo.

Kumbe jamaa alifake na kutengeneza matukio ili apate pesa Wala hakukuwepo na kesi halisia Bali ilikuwa ni mipango iliyofanywa na Wakili asiyekuwa mwaminifu.

Basi mgogoro mkubwa ukaibuka mpaka mahusiano yakavunjika.

Ndipo huyo mwanamke akaanza mahusiano na rafiki yangu, kwa Sababu rafiki yangu ni ndugu yangu the way tulivyishi akamtambulisha kwangu yule mwanamke then maisha yakaendelee.

Ila kabla hatujua kuwa mwanamke alikotoka alikuwa na mzigo wa mikopo.

Kuna siku nilimuuliza rafiki yangu unaijua background ya huyo mwanamke ? Akasema hapana hakujua nilimshauri afuatilie kweli anagundua kuwa mwanamke yupo single kwa siku 25.

Hiyo taarifa ilinishtua kidogo na kunipa maswali inawezekanaje mwanamke aliyeumizwa Sana hajapata muda wa kutafakari anaanzisha mahusiano mapya ndani ya muda mfupi hivyo?

Seriously nilihisi hapo Kuna kitu zaidi kinatafutwa sio upendo, nikutaka kumhoji Sana rafiki yangu nilimwambia tu awe makini sana, Basi maisha yakaendelea Kama kawaida.

Miezi kadhaa badaye nikaona rafiki yangu anahangaika Sana kutafuta pesa ikionyesha ana uhitaji mkubwa Sana wa pesa isivyo kawaida yake.

Kama tujuavyo ukitaka kumjua mtu kaa karibu naye so kwa ukaribu niliokuwa nao kwa rafiki yangu niligundua jamaa ana matatizo.

Nikaomba kuongea naye bila hiana akafunguka yote A to Z kuhusu Shemeji na mikopo aliyochukua benk na kwenye vikobo ilikuwa mikopo iliyokuwa kiasi kwamba mshahara wote ulikuwa unakatwa huko huko, huku wa Vikoba nao wakiwa wanamsumbua sana.

Basi nikaingiwa na hurumu Sana kumuona rafiki yangu anateseka vile Kuna kiendo tulinunua eneo la pamoja kwa lengo la kujenga fremu za biashara Kisha tugawane fremu.

Rafiki yangu akaniomba kuuze ili ipatikane pesa ya haraka kuclear mikopo ya Shemeji.
nampenda Sana rafiki yangu, nilikubali kufanya hivyo.

Tukauza tukaclear mikopo yote ya Shemeji maisha yakaendelee.

Mimi nikapata Safari ya kikazi kwenda nje ya Tz. Wakati nasafiri rafiki yangu alikuwa kwenye process za mwisho kabsa za kumuoa huyo Shemeji yangu.

MUNGU saidia kweli alifanikisha na Mambo yalienda vizuri kabisa thou niliumia kutohudhuria harusi ya rafiki yangu lakini sikuwa na namna majukumu ya kazi yalinibana Sana.

Yapata miaka miwili Sasa sijaonana live na rafiki yangu japo tunawasiliana vizuri na Kama Kuna changamoto tunashirikishana ingawa Kuna mazingira nakuwa nipo mawasiliano yanakuwa hamna kabisa mwezi mzima au zaidi.

Mpaka hapa mtakuwa mmeelewa kwanini naumia Sana kuona huo usariti.

Sasa turudi kwenye group la WhatsApp,

Baada ya kuona Ile picha ya mke wa rafiki yangu nikataka evidence juu ya lile Jambo, kweli nilipata evidence zote zikiwemo videos.

Kumbe Mwanamke anamuaga Mwanume kuwa waenda kikazi kwenye mkoa huo lakini kumbe anaenda kwa mwanaume mwingine(mchepuko).

Kusema kweli tangu nione usariti ule nimejikuta sipo sawa kabisa naumia Sana maana rafiki yangu amehangaika Sana na kuhairisha Mambo yake mengi ili tu kuweza kumsaidia mwanamke pamoja na familia ya mwanamke.

Hapa napambana na nafsi mbili

Moja inaniambia nimwambie rafiki yangu ....na nafsi nyingine inasema nisimwambie ...

Tafadhali naombeni ushauri wenu wana jamvi nifanye nini nampenda Sana rafiki yangu

Nakuja kwenu kupata ushauri mpana zaidi.
Kama unaushahidi..nunua flashi..rekodi..mtume mtu asiemjua..ampe..alafu kaa kimya. Akiona yeye..ataaamua lililo sahihi..na wewe hutakuwa na lawama. Na hapo untakuwa umeiweka huru nafsi yako kuliko uivyo sasa.
 
Tafuta namna ya kumwambia uokoe roho yake, uokoe mwili wake,uokoe maisha yake.
Maradhi ni mengi mno, ukimwi umetapakaa mno ni maumivu sana kusalitiwa, tafuta namna ya kumuokoa iwe tu indirect way hata direct way ikibidi, tulipofikia hakuna aliye salama ukimwi hauchagui.
Brother wangu aliambiwa sana mkewe anasaliti, hakuamini na akapuuza lakini leo hii na mke wote ni HIV+...inaumiza sana.
Sijaoa lakini huwa nawaambia rafiki zangu ikitokea umemuona mchumba yupo na mtu niambie, ili uokoe maisha yangu palipofikia tusioneane aibu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Habari Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.

Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once changamoto za kimaisha zinapo arise.

Nimeishi vizuri Sana na huyu rafiki yangu tena kwa ukaribu Sana tukiwa mtaa mmoja. lakini kwa Sasa tupo mbali kwa maana ya distance lakini urafiki wetu bado upo na unakua siku Hadi siku.

Huyo rafiki yangu ni mtumishi wa taasisi Y wakati mke wake naye ni mtumishi wa taasisi W (mwanamke ni mtu wa kusafiri Mara kwa Mara kwa nature ya kazi yao).

Sasa week chache zilizopita nikiwa kwenye Moja ya group la WhatsApp linalodeal na ndoa.

Ghafla nikaona picha ya Shemeji yangu akiwa huged na jamaa Fulani imetumwa kwenye group na jamaa.

Kwa Sababu namfaham nilishtuka Sana nikafuatilia vizuri nani ametuma Ile picha, nikapata kumfaham. nikiwa najiuliza maswali na kutafakari.

Moja ya member katika hilo group aliuliza kwa kumtag mtu aliyetuma Ile picha,,, Boss huyo mwanamke ni mkali Sana ni wa wawapi...?

Jamaa akajibu ni wa mkoa X, alipo taja mkoa kwangu maumivu makali Sana yalikuwa upande wangu as if Mimi ndiye nasaritiwa.

Why niliumia Sasa Mimi wakati sio mke wangu amefanya hivyo?

Kama nilivyosema awali mume wa huyo mwanamke ni rafiki yangu Sana na tumepitia mengi Sana pamoja so ni Kama ndugu yangu tu kwa Sasa.

Huyo Shemeji kabla ya kuwa na rafiki yangu alikuwa na mahusiano na jamaa mmoja ambaye alikuwa na kesi. Yule jamaa akamkopa mwanamke pesa akimuahidi atamrudishia kumbe dhamira yake ni kumtapeli mwanamke na kweli mwanamke alikopa pesa kwenye Vikoba na akachukua mkopo benk then akampa jamaa apeleke kwenye kesi aliyokuwa anakabiliwa nayo.

Kumbe jamaa alifake na kutengeneza matukio ili apate pesa Wala hakukuwepo na kesi halisia Bali ilikuwa ni mipango iliyofanywa na Wakili asiyekuwa mwaminifu.

Basi mgogoro mkubwa ukaibuka mpaka mahusiano yakavunjika.

Ndipo huyo mwanamke akaanza mahusiano na rafiki yangu, kwa Sababu rafiki yangu ni ndugu yangu the way tulivyishi akamtambulisha kwangu yule mwanamke then maisha yakaendelee.

Ila kabla hatujua kuwa mwanamke alikotoka alikuwa na mzigo wa mikopo.

Kuna siku nilimuuliza rafiki yangu unaijua background ya huyo mwanamke ? Akasema hapana hakujua nilimshauri afuatilie kweli anagundua kuwa mwanamke yupo single kwa siku 25.

Hiyo taarifa ilinishtua kidogo na kunipa maswali inawezekanaje mwanamke aliyeumizwa Sana hajapata muda wa kutafakari anaanzisha mahusiano mapya ndani ya muda mfupi hivyo?

Seriously nilihisi hapo Kuna kitu zaidi kinatafutwa sio upendo, nikutaka kumhoji Sana rafiki yangu nilimwambia tu awe makini sana, Basi maisha yakaendelea Kama kawaida.

Miezi kadhaa badaye nikaona rafiki yangu anahangaika Sana kutafuta pesa ikionyesha ana uhitaji mkubwa Sana wa pesa isivyo kawaida yake.

Kama tujuavyo ukitaka kumjua mtu kaa karibu naye so kwa ukaribu niliokuwa nao kwa rafiki yangu niligundua jamaa ana matatizo.

Nikaomba kuongea naye bila hiana akafunguka yote A to Z kuhusu Shemeji na mikopo aliyochukua benk na kwenye vikobo ilikuwa mikopo iliyokuwa kiasi kwamba mshahara wote ulikuwa unakatwa huko huko, huku wa Vikoba nao wakiwa wanamsumbua sana.

Basi nikaingiwa na hurumu Sana kumuona rafiki yangu anateseka vile Kuna kiendo tulinunua eneo la pamoja kwa lengo la kujenga fremu za biashara Kisha tugawane fremu.

Rafiki yangu akaniomba kuuze ili ipatikane pesa ya haraka kuclear mikopo ya Shemeji.
nampenda Sana rafiki yangu, nilikubali kufanya hivyo.

Tukauza tukaclear mikopo yote ya Shemeji maisha yakaendelee.

Mimi nikapata Safari ya kikazi kwenda nje ya Tz. Wakati nasafiri rafiki yangu alikuwa kwenye process za mwisho kabsa za kumuoa huyo Shemeji yangu.

MUNGU saidia kweli alifanikisha na Mambo yalienda vizuri kabisa thou niliumia kutohudhuria harusi ya rafiki yangu lakini sikuwa na namna majukumu ya kazi yalinibana Sana.

Yapata miaka miwili Sasa sijaonana live na rafiki yangu japo tunawasiliana vizuri na Kama Kuna changamoto tunashirikishana ingawa Kuna mazingira nakuwa nipo mawasiliano yanakuwa hamna kabisa mwezi mzima au zaidi.

Mpaka hapa mtakuwa mmeelewa kwanini naumia Sana kuona huo usariti.

Sasa turudi kwenye group la WhatsApp,

Baada ya kuona Ile picha ya mke wa rafiki yangu nikataka evidence juu ya lile Jambo, kweli nilipata evidence zote zikiwemo videos.

Kumbe Mwanamke anamuaga Mwanume kuwa waenda kikazi kwenye mkoa huo lakini kumbe anaenda kwa mwanaume mwingine(mchepuko).

Kusema kweli tangu nione usariti ule nimejikuta sipo sawa kabisa naumia Sana maana rafiki yangu amehangaika Sana na kuhairisha Mambo yake mengi ili tu kuweza kumsaidia mwanamke pamoja na familia ya mwanamke.

Hapa napambana na nafsi mbili

Moja inaniambia nimwambie rafiki yangu ....na nafsi nyingine inasema nisimwambie ...

Tafadhali naombeni ushauri wenu wana jamvi nifanye nini nampenda Sana rafiki yangu

Nakuja kwenu kupata ushauri mpana zaidi.

Achana na ushauri wa watanzania, eti, usimwambie, utaharibu ndoa. Sasa ndoa ikiharibika kuna shida gani? Mimi nakerwa sana na tabia hii ya watanzania. Unaweza usiseme leo, kesho akafahamu, na akaja kujua ulijua hukumwambia. Au akajua mwenyewe bila utaratibu akapaniki akambanika huyo dada. Kumbe ukitumia busara unaweza kuokoa yote haya.

Hapo cha msingi ni kutumia busara ya hali ya juu kumjuza jamaa yako. Kwanza, ni lazima uwe umejiridhisha na suala hili, pili hakikisha una ushahidi mujarab. Kuna namna nyingi ya kumfikishia taarifa, usikurupuke. Tumia viongozi wa dini, wenye busara, siyo hawa wanaokataa chanjo, eti, wameoteshwa. Kama ulivyosema kuwa mmeshibana na rafiki yako,basi pia huenda kuna watu wazima waliowazidi umri, watumie hao.

Hii usijali hata kama urafiki wenu utayumba. Utakuwa umewatendea haki hao wanandoa, watoto wao (kama wanao), familia yako na yao na jamii nzima ya watanzania. Kama haitoshi, hata peponi utakaa kiti cha mbele kabisa kama wale abiria VIP wa BM Coach.

Tujifunze kukabili ukweli hata kama unauma
 
Habari Wana jamvi,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.

Nina rafiki yangu ambaye ni Kama ndugu yangu kwa jinsi tunavyoishi na kusaidiana once changamoto za kimaisha zinapo arise.

Nimeishi vizuri Sana na huyu rafiki yangu tena kwa ukaribu Sana tukiwa mtaa mmoja. lakini kwa Sasa tupo mbali kwa maana ya distance lakini urafiki wetu bado upo na unakua siku Hadi siku.

Huyo rafiki yangu ni mtumishi wa taasisi Y wakati mke wake naye ni mtumishi wa taasisi W (mwanamke ni mtu wa kusafiri Mara kwa Mara kwa nature ya kazi yao).

Sasa week chache zilizopita nikiwa kwenye Moja ya group la WhatsApp linalodeal na ndoa.

Ghafla nikaona picha ya Shemeji yangu akiwa huged na jamaa Fulani imetumwa kwenye group na jamaa.

Kwa Sababu namfaham nilishtuka Sana nikafuatilia vizuri nani ametuma Ile picha, nikapata kumfaham. nikiwa najiuliza maswali na kutafakari.

Moja ya member katika hilo group aliuliza kwa kumtag mtu aliyetuma Ile picha,,, Boss huyo mwanamke ni mkali Sana ni wa wawapi...?

Jamaa akajibu ni wa mkoa X, alipo taja mkoa kwangu maumivu makali Sana yalikuwa upande wangu as if Mimi ndiye nasaritiwa.

Why niliumia Sasa Mimi wakati sio mke wangu amefanya hivyo?

Kama nilivyosema awali mume wa huyo mwanamke ni rafiki yangu Sana na tumepitia mengi Sana pamoja so ni Kama ndugu yangu tu kwa Sasa.

Huyo Shemeji kabla ya kuwa na rafiki yangu alikuwa na mahusiano na jamaa mmoja ambaye alikuwa na kesi. Yule jamaa akamkopa mwanamke pesa akimuahidi atamrudishia kumbe dhamira yake ni kumtapeli mwanamke na kweli mwanamke alikopa pesa kwenye Vikoba na akachukua mkopo benk then akampa jamaa apeleke kwenye kesi aliyokuwa anakabiliwa nayo.

Kumbe jamaa alifake na kutengeneza matukio ili apate pesa Wala hakukuwepo na kesi halisia Bali ilikuwa ni mipango iliyofanywa na Wakili asiyekuwa mwaminifu.

Basi mgogoro mkubwa ukaibuka mpaka mahusiano yakavunjika.

Ndipo huyo mwanamke akaanza mahusiano na rafiki yangu, kwa Sababu rafiki yangu ni ndugu yangu the way tulivyishi akamtambulisha kwangu yule mwanamke then maisha yakaendelee.

Ila kabla hatujua kuwa mwanamke alikotoka alikuwa na mzigo wa mikopo.

Kuna siku nilimuuliza rafiki yangu unaijua background ya huyo mwanamke ? Akasema hapana hakujua nilimshauri afuatilie kweli anagundua kuwa mwanamke yupo single kwa siku 25.

Hiyo taarifa ilinishtua kidogo na kunipa maswali inawezekanaje mwanamke aliyeumizwa Sana hajapata muda wa kutafakari anaanzisha mahusiano mapya ndani ya muda mfupi hivyo?

Seriously nilihisi hapo Kuna kitu zaidi kinatafutwa sio upendo, nikutaka kumhoji Sana rafiki yangu nilimwambia tu awe makini sana, Basi maisha yakaendelea Kama kawaida.

Miezi kadhaa badaye nikaona rafiki yangu anahangaika Sana kutafuta pesa ikionyesha ana uhitaji mkubwa Sana wa pesa isivyo kawaida yake.

Kama tujuavyo ukitaka kumjua mtu kaa karibu naye so kwa ukaribu niliokuwa nao kwa rafiki yangu niligundua jamaa ana matatizo.

Nikaomba kuongea naye bila hiana akafunguka yote A to Z kuhusu Shemeji na mikopo aliyochukua benk na kwenye vikobo ilikuwa mikopo iliyokuwa kiasi kwamba mshahara wote ulikuwa unakatwa huko huko, huku wa Vikoba nao wakiwa wanamsumbua sana.

Basi nikaingiwa na hurumu Sana kumuona rafiki yangu anateseka vile Kuna kiendo tulinunua eneo la pamoja kwa lengo la kujenga fremu za biashara Kisha tugawane fremu.

Rafiki yangu akaniomba kuuze ili ipatikane pesa ya haraka kuclear mikopo ya Shemeji.
nampenda Sana rafiki yangu, nilikubali kufanya hivyo.

Tukauza tukaclear mikopo yote ya Shemeji maisha yakaendelee.

Mimi nikapata Safari ya kikazi kwenda nje ya Tz. Wakati nasafiri rafiki yangu alikuwa kwenye process za mwisho kabsa za kumuoa huyo Shemeji yangu.

MUNGU saidia kweli alifanikisha na Mambo yalienda vizuri kabisa thou niliumia kutohudhuria harusi ya rafiki yangu lakini sikuwa na namna majukumu ya kazi yalinibana Sana.

Yapata miaka miwili Sasa sijaonana live na rafiki yangu japo tunawasiliana vizuri na Kama Kuna changamoto tunashirikishana ingawa Kuna mazingira nakuwa nipo mawasiliano yanakuwa hamna kabisa mwezi mzima au zaidi.

Mpaka hapa mtakuwa mmeelewa kwanini naumia Sana kuona huo usariti.

Sasa turudi kwenye group la WhatsApp,

Baada ya kuona Ile picha ya mke wa rafiki yangu nikataka evidence juu ya lile Jambo, kweli nilipata evidence zote zikiwemo videos.

Kumbe Mwanamke anamuaga Mwanume kuwa waenda kikazi kwenye mkoa huo lakini kumbe anaenda kwa mwanaume mwingine(mchepuko).

Kusema kweli tangu nione usariti ule nimejikuta sipo sawa kabisa naumia Sana maana rafiki yangu amehangaika Sana na kuhairisha Mambo yake mengi ili tu kuweza kumsaidia mwanamke pamoja na familia ya mwanamke.

Hapa napambana na nafsi mbili

Moja inaniambia nimwambie rafiki yangu ....na nafsi nyingine inasema nisimwambie ...

Tafadhali naombeni ushauri wenu wana jamvi nifanye nini nampenda Sana rafiki yangu

Nakuja kwenu kupata ushauri mpana zaidi.

Najua upo kwenye mtihani mkubwa mno ndugu yangu. Linapokuja suala la kujihusisha na mahusiano ya watu huwa jambo zito sana.

Nakumbuka miaka mitatu iliyopita nilirudi nyumbani kutoka kwenye pirika zangu ikiwa yapata majira ya saa nne usiku. Bahati mbaya sikutoka na funguo ya geti hivyo ilinilazimu kumpigia mama simu anifungulie geti, simu iliita muda mrefu bila mafanikio. Nikiwa kwenye zoezi la kuendelea kumpigia mama simu alifungulie geti. Nilimuona mke wa bro wangu wa kitaa akiingizwa kwenye geti la jirani na shamba boy wa hiyo nyumba. Ukweli nilipigwa na bumbuwazi nisiamini nilichokiona huku nikijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu juu ya kitendo kile.
Ukweli nilimpigia simu bro nisamlimu kwa kuwa sikuonana naye kwa muda wa siku kadhaa. Alipokea simu tukasalimiana na kuniuliza kama nipo dukani kwa bwashee ambapo huwa mara nyingi tunakutana na kupiga story mbili tatu na kugonga mvinyo. Nilimwambia nipo hapa home nje nilikuwa nampigia simu mama anifungulie geti lakini simu yake inaita tu. Alichoniambia nilichoka, aliniambia anamsubiri mke wake arudi kutoka kununua maziwa ili aende dukani kwa bwashee akapige stori na jamaa.

Unaona sasa, “Mme anajua mke amefata maziwa dukani, na kumbe alienda kupewa cha fasta na shamba boi”. Ukweli sikuthubutu kumwambie bro kile nilichokiona kuhofia kusababisha migogoro baina yao. Na nikiwa nimesimama pale nje haikuchukua hata dakika 15 shemeji akatolewa mle ndani na kurudi kwake.

Hivyo kuna wakati unakuwa njia panda linapokuja suala la mahusiano ya watu.
 
Wazo zuri Sana. Nami nilifikiria hivyo
Tafuta admin au mtu yoyote amuunganishe katika Hilo kundi la whatsaap then wewe nitoe kwa siku chache kama mbili Tatu hivi halafu hizo picha azione basi hapo jamaa atajua kila kitu na baadae atolewe na wewe urudi. Hatajua kama wewe ni mhusika ila atajua yote na ushahidi. Mke hapo atajua afanye nini
 
Back
Top Bottom