Hello
kwa yoyote mwenye uelewa na hii koz ya MSC in cyber security and digital forensic
Naomba kujua kwa mtu anaetaka Kuisoma labda vigezo vyake vikoje pia na soko la ajira likoje
Kiukweli mimi ndo gari ninayotumia kwa sasa kwa miaka mitatu sasa sijawahi kuona shida yoyote tofauti kumwaga oil au filter na hata spare zake zinapatikana kwa urahisi. 1790cc
Sio ustawi wa jamii buhare bali ni maendeleo ya jamii buhare musoma yaani community development buhare musoma na hata hivo ingia website yao usiwe mvivu ndg kila kitu kiko online
Ndugu wadau
Ningependa kufahamishwa juu ya hili jambo linalohusu recateglrization kwamba kuna ndugu yangu ni Askari Polisi na ana degree ya Maendeleo ya Jamii akiwa na GPA 3.5 amefanya kazi kwa muda wa miaka mitano sasa lakini anataka kubadilisha aina ya kazi kutoka Polisi kwenda PCCB
Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.