Mwenye wasifu wa Kulwa Biteko

Mwenye wasifu wa Kulwa Biteko

Waziri ni Doto hapa tunamzungumzia Kulwa
Sasa hao wote wamepata kura za kuongoza katika kura maoni kwa majimbo ya Busanda na Bukombe daah mapacha hawa bwana!! Hayaa safari njema Kulwa, Dotto amefanya kazi yake!!
 
Mh wapwa tena!! Sie tunataka mbunge mwenye kujenga hoja mkuu. Bukwimba licha ya kuwa na madiwani wengi toka Busanda katka Geita council alizidiwa kete na Msukuma hospital ya wilaya ikajengwa nzera. Tunamshukuru JPM katuonea huruma na sie katupa hospital yenye hadhi ya wilaya. We need Biteko perhaps can do something
Wasukuma walifanya nchi ya bibi Yao hii maskini
 
Back
Top Bottom