Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Ulikosa MD ukakimbilia hukoChemical and Process Engineering
Ulikosa MD ukakimbilia hukoChemical and Process Engineering
Sijasomea PCB mkuu, nilisomea PCM na hiyo ndio kozi niliyo kuwa naipenda tangia nasoma olevelUlikosa MD ukakimbilia huko
Sijawai ipenda MD kwasababu mother alinikataza kabisa kusomea udaktari.Ulikosa MD ukakimbilia huko
Haya nijibu post #59 hapo juuSijawai ipenda MD kwasababu mother alinikataza kabisa kusomea udaktari.
Kama UDOM ni mbovu kamawafikiriavyo humu hii inamaana gani kwa UDSM kutokana na mchango wako hapaWalimu wa UDOM wote wamesomea UDSM, Walimu wako wote wamesomea UDSM, walimu wa walimu wako wamesomea UDSM, walimu wa wazazi wako nao wamesomea UDSM, viongozi wote wa serikali wamesomea UDSM, UDSM huwezi kuilinganisha na UDOM, UDSM inajulikana dunia nzima
Hiii we jamaa unamambo ya ajabu nimemaliza kisimiri shule inayoongoza top 10 advance kila mwaka na ni mpya imeanza 2006 na ni ya serikali use logic .... it's all about knowledge inayotolewa apo na cio ukongwe jangwan mbn ilikua ya mwishooooo ni kongwe Aya pugu boys tufaulu l ikoje Sasa use logic again afu kurudisha mambo ya high schoolYaani chuo kimezaliwa miaka ya 2000s unakilinganisha na chuo cha mkoloni. Ni sawa nakulinganisha shule za Tabora boys, MZUMBE, Kibaha, na shule za kataa.
Habarini.
Naombeni mnipe tofauti ya Degree ya Bsc in COMPUTER SCIENCE inayofundishwa Udsm na UDOM.
Mkuu unapoteza mda wako kubishana na hivi vitoto vya chuo.Fanya utafiti kwanza. Si UDSM wala UDOM muhimu ni mwanafunzi una mentality gani. Kuna vilaza wingi tunao mtaani toka UDSM hawajui hata mising ya coding na wamesoma Computer Science
Sent using Jamii Forums mobile app
UDSM = JalalaniWalimu wa UDOM wote wamesomea UDSM, Walimu wako wote wamesomea UDSM, walimu wa walimu wako wamesomea UDSM, walimu wa wazazi wako nao wamesomea UDSM, viongozi wote wa serikali wamesomea UDSM, UDSM huwezi kuilinganisha na UDOM, UDSM inajulikana dunia nzima
Kasoma jalalani.Informatics informatics dogo acha kulinganisha UDSM na UDOM mkuu wa college ya informatics kasoma chuo gani, ??
Hiii we jamaa unamambo ya ajabu nimemaliza kisimiri shule inayoongoza top 10 advance kila mwaka na ni mpya imeanza 2006 na ni ya serikali use logic .... it's all about knowledge inayotolewa apo na cio ukongwe jangwan mbn ilikua ya mwishooooo ni kongwe Aya pugu boys tufaulu l ikoje Sasa use logic again afu kurudisha mambo ya high school
kwani udsm siku hizi wanatoa PHD ya kuongea kiingereza?Watu wanaisifu sana UDSM kwamba ni chuo bora wakati ni chuo ambacho kimezalisha graduate wa PhD ambaye hata kuongea kiingereza ni majanga wakati huohuo watu wenye UMBILIKIMO wa mawazo wanakisifia kila kukicha
sababu hasa ya unondo huo ni ipi ?Ya udsm itakuwa nondo zaidi
Asante sana mkuu kwa wazo lako. What is UDSM and UDOM in the labour market ? What is UDSMEti vipanga!
Bado sana ninyi watanzania kwenye maswala ya elimu!
Vyuo vyote Tanzania vinalingana ubora wala havina tofauti yoyote isipokuwa majengo tu!
Walimu ni wale wale, wanafunzi ni wale wale na mitaala ni ile ile!