Recent content by stevepaul

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wakuu kwa yeyote aliewahi kuuziwa CD na muimbaji huyu , kama inawezekana nitashukuru nikiipata copy yake maana ninaitafuta muda mrefu sana mtandaoni siipati. Wimbo pekee unaopatikana youtube ni mmoja tu unaoitwa NIMESIKIA HABARI. Zingine zote hazipatikani. Nipo tayari kwa kulipa gharama ikibidi...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Nimeweka Engine Oil 20w-50 X-trail NT30 (2003) nipo sawa?

    Unaposema old cars ni kuanzia mwaka gani mkuu
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kuzika marehemu kwenye makaburi ni sawa? Asili inasemaje?

    Hata cement ni huohuo udongo. Kwahiyo hakuna kilichokwepwa
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemtumia nauli, akiwa njiani anakuja kadakwa na wengine.

    Kwa msaada wa AI
  5. S

    JamiiForums Tanzania Zantel na Zain wapunguza gharama za internet

    Watu mnatumia GB 1 mwezi mzima na hamsemi
  6. S

    JamiiForums Tanzania Tanzania Nchi 1 ya JMT, Zanzibar Kujiita Nchi, Sio Uhaini?. Zanzibar Iadabishwe Kuondoa Ubatili wa Katiba Yake ili Tuitambue au Tumchelee Mwana Kulia?

    Ili kuisoma hii makala yako pale mwananchi lazima ulipie kwanza. Lakini umeileta jf isomwe bure. Haitakuletea conflict na mwananchi?
  7. S

    JamiiForums Tanzania Hawa Yas wanaiba pesa za watu kisingizio wasema wapo kwenye urekebishaji

    Umeibiwa vipi ndugu. Tusimulie kwa faida ya wengi ili tuchukue tahadhari.
  8. S

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mwanza: Nane mbaroni kwa kukimbia na kura za mwenyekiti

    Nimesikia amesema kura zimebebwa na hao vijana saa kumi na mbili asubuhi. Pia nimesikia kura zinaanza kupigwa saa mbili asubuhi. Sijaelewa . Naomba alieelewa anieleweshe tafadhali.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Hii ni njia nyingine nzuri ya uokoaji kariakoo, kwa wale wahanga wanaopiga simu.

    Mods naomba msiuunganishe uzi huu na zingine ili uweze kusaidia wengi. Wale waokoaji ambao mpo nje ya jengo na mnawasiliana na wahanga waliopo ndani ya jengo, waombeni wahanga email na password za gmail account kisha waambieni wawashe location kwenye simu zao. Tumieni simu au computer zenu...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Naomba mnijuze jambo hili kuhusu mtandao wa simu wa Tigo

    🙏
  11. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nasumbuliwa na michubuko kwenye ngozi ya korodani

    Nenda hospital mapema
Back
Top Bottom