Wakuu kwa yeyote aliewahi kuuziwa CD na muimbaji huyu , kama inawezekana nitashukuru nikiipata copy yake maana ninaitafuta muda mrefu sana mtandaoni siipati. Wimbo pekee unaopatikana youtube ni mmoja tu unaoitwa NIMESIKIA HABARI. Zingine zote hazipatikani. Nipo tayari kwa kulipa gharama ikibidi...
Nimesikia amesema kura zimebebwa na hao vijana saa kumi na mbili asubuhi. Pia nimesikia kura zinaanza kupigwa saa mbili asubuhi. Sijaelewa . Naomba alieelewa anieleweshe tafadhali.
Mods naomba msiuunganishe uzi huu na zingine ili uweze kusaidia wengi.
Wale waokoaji ambao mpo nje ya jengo na mnawasiliana na wahanga waliopo ndani ya jengo, waombeni wahanga email na password za gmail account kisha waambieni wawashe location kwenye simu zao.
Tumieni simu au computer zenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.