Recent content by steven masanja

  1. S

    Shtuka mtoto wa kike

    Unakuta mwanamke analalanika eti wanaume wote ni sawa...nani kakwambie uwaonje wote? Utaishia kulea wanao kwa wazazi wako
  2. S

    *Breaking News*

    Hii kama ni kwel,Itakua ni nyingine kati ya maajabu yanayopatikana Tanzania pekee
  3. S

    Vitabu kumi bora vilivyonunuliwa na kusomwa zaidi duniani, umesoma vingapi kati ya hivyo?

    We jamaa mgumu sana kuelewa masuala mepesi kama hili... Ngoja nituelimishe kidogo sana..hii tafiti inafanyika kwa vitabu vilivyonunuliwa kwenye library,online .sio kusomwa wakat wa ibada.
  4. S

    Vitabu kumi bora vilivyonunuliwa na kusomwa zaidi duniani, umesoma vingapi kati ya hivyo?

    Ndio uwelewa wake,ata ukiangalia reference aliotumia hapo magari,music,movie, nguo na nk.kiukwel ndio vitu vizur dunian ila sbb ni vya wazungu yy anasema wanajipendelea. Huyo sasa ukimuambia ukristo ndio dini yenye waumini wengi atakataa alafu atakuambia sababu imeletwa na wazungu.
  5. S

    Madalali wa sokoni: Wamekuwa hasara na kero kubwa kwa wakulima wadogo wadogo

    Ni sawa ..lkn lazima wakulima tujipange na kulilazimisha hili.
  6. S

    Madalali wa sokoni: Wamekuwa hasara na kero kubwa kwa wakulima wadogo wadogo

    Kwani hii kazi ya udalali ni alali kisheri? Na pia nadhani wakulia tuanzishe umoja wetu tukapeleke malalamiko yetu kwa wakurugenzi wa halmashauri husika ambapo kuna masoko.
  7. S

    Naomba mwenye taarifa za Masoko ya nje ya nchi anifaahamishe

    Habari wadau Mimi ni mkulima mchanga( nikimaanisha ndio naanza hizi shughuli za Kilimo) sasa tangia nimeanza tatizo kubwa ambalo nalisikia ni kuhusu soko la bidhaa zetu. Ndugu zangu mimi nina swali kwa wakulima wa muda mrefu na wazoefu, kama soko la ndani kuna misimu tunalizidi uwezo...
  8. S

    Wakulima Kilimanjaro/Arusha...

    Na Mimi pliz ni add nimeanza Kilimo cha vitunguu Sanya juu 0765821577
  9. S

    Tumuombe Rais Mstaafu Kikwete, atuambie pesa alikuwa anapata wapi kuwalipa...

    Na pesa za kugharamia safari zake za nje .
  10. S

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Naombeni kwa mzoefu wa kilimo cha vitunguu anijulishe ni wakati gani mzuri wa kulima kutegenea na soko zuri wakati wa mavuno
  11. S

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Hizo bei mbei na idadi ya movuno mbona inakinzana?niliulizia watu wanao kaasehemu zinazo limwa kitungu kama mwanga kileo wanasema heka moja inatoa gunia 80 mpaka 120 kama shamba litaudumiwa vizuri na bei ni laki 1 kama soko ni baya..kwa maelezo pitieni YOUTUBE search kilimo cha umwagiliaji cha...
  12. S

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    mawasiliano ya TAYODA tafadhali
  13. S

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Jamani wadau katika masuala ya fursa tusipeane habari za kizushi,..mwenye mawasiliano na TAYOA hatupatie hapa ili tuweze
Back
Top Bottom