Mie nilikuwaga nakisomea pale Maktaba Ya Mkoa Arusha bila kutawadha na hakikuungua.Ushawahi kikuta Bookshop?
Softcopy ya Quotations from Chairman Mao ipo available bure online
Binafsi nimesoma
1.The Davinci Code
2.The Alchemist
3. Bible-Zijamaliza
Mwenye soft Copy ya hivo vilivobaki na umevisoma share hapa please
Sincerely,
Ethos.
Hiyo ni list ya mzungu! Kumbuka chochote kilicho bora kwa mzungu ndicho kitakachoitwa Bora duniani! Ndiyo maana Hata world chat ya music imejaa American/european music tu,vazi bora duniani ni lazima litokee hukohuko!hata list ya magari bora duniani lazima ianze na hayo ma Roll Royce,Bentley,porsche,Ford,nk kisha ndiyo zifuate hizi za kijapani,kihindi,kichina,kikorea nk!! Hii ni technic ya kibiashara,ukishaaminishwa kuwa hiki ndiyo bora,na ukaamini hivyo,unauziwa hicho huku ukiamini kuwa umenunua kilicho bora!! Apart from that usingeikosa Qur'an tukufu hapo,ila kwa kuwa Qur'an siyo bora kwa mzungu hawezi kuihesabu kuwa bora duniani.Thanks mkuu ngoja niicheki
Dooh! Mao ni wa wapi? Quaran inauzwa wapi?Hiyo ni list ya mzungu! Kumbuka chochote kilicho bora kwa mzungu ndicho kitakachoitwa Bora duniani! Ndiyo maana Hata world chat ya music imejaa American/european music tu,vazi bora duniani ni lazima litokee hukohuko!hata list ya magari bora duniani lazima ianze na hayo ma Roll Royce,Bentley,porsche,Ford,nk kisha ndiyo zifuate hizi za kijapani,kihindi,kichina,kikorea nk!! Hii ni technic ya kibiashara,ukishaaminishwa kuwa hiki ndiyo bora,na ukaamini hivyo,unauziwa hicho huku ukiamini kuwa umenunua kilicho bora!! Apart from that usingeikosa Qur'an tukufu hapo,ila kwa kuwa Qur'an siyo bora kwa mzungu hawezi kuihesabu kuwa bora duniani.
Binafsi nimesoma
1.The Davinci Code
2.The Alchemist
3. Bible-Zijamaliza
Mwenye soft Copy ya hivo vilivobaki na umevisoma share hapa please
Sincerely,
Ethos.
Umewaza vyema. Naamini ndugu zangu hawataichulia vibaya list hiyo...Kitabu kilichokosekana kuna uwezekano kweli au hakipo katika hyo list au kipo ktk chat za chini baada ya hivi. Bible ni kweli coz ipo ktk kila lugha mpaka makabila... Hvyo vingine hapo vipo katika lugha inayoxungumzwa na karibu kila taifa yaani kiingereza, sasa hiko kingine kisichokuwepo ktk orodha hyo kuna uwezrkano wakusomwa na watu wachache sana tena ni wale waliofundishwa kukisoma. Laiti kingekuwa katika lugha pendwa duniani au katika kila lugha ya mtu naimani kingechuana na Bible Takatifu.....
Mkuu kwani kuna tetesi za kuwa kinaungua ukikisoma bila kutawadhaMie nilikuwaga nakisomea pale Maktaba Ya Mkoa Arusha bila kutawadha na hakikuungua.