Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Hii ni utashi wamtu...Wengi hawataki kuolewa wanakwambia bora kuzaa mtoto watalea kuna moja namjua kabisaa ye kazaa na mume wa mtu makusudi
Tunaongelea hao mnaowalaumu kua wanazaa hovyo
Hii ni utashi wamtu...Wengi hawataki kuolewa wanakwambia bora kuzaa mtoto watalea kuna moja namjua kabisaa ye kazaa na mume wa mtu makusudi
Mkuu sina niya ya kuwakatisha tamaa ila nawapa somo wajifunze kwa nn ubebe mimba mara 2 kabla hujaolewa wewe unafikiri Zari angekuwa kapuku Dai angeenda tatizo dada zetu hawa wanajiachia mnoMbona zali ana watoto watatu na kapata bwana maarufu na mwenye pesa
Usiwakatishe tamaa dada zetu.. Mungu anakuona ndoa inafanyika hata katika umri wa miaka 40
Dada zangu fanyeni kutu roho yenu inapenda.... Mkumbuke anaeamua ndoa ifanyike mwanaume sasa kama kakudanganya atakuoaa akakupa mimba harafu asikue kosa la nani
Akija mwingine akakupa mimba akasema atakuoa hajakuoa kosa sio lako
Ila jamii inasema kila mtu na baba ake
But kosa sio lenu dada zangu vijana wengi hasa wa dar es silaamu hawapendi kuoa wanakwepa majukumu na sisi wanaume wa mikoani twaonekana WASHAMBA ... Just jokes ila wanaume wa Dar kuna tatizo blv me
Sijawah kumtia MTU mimba Mwakani ndo Nataka kuwa Big Daddy by the way wengine munataka wenyewe View attachment 406602