Dr slaa ndigo raisi, raisi wa kutogomboa na umaskini katu hawezi toka ccm tena chama chenye makundi, akiingia ndi yale yale kulindana, kuiba pesa ili kulipa fadhila wa wahisan wake wanaomchangia, umasikini utaendelea,ufisadi utaendelea kama kawaida sababu yeye ndiyo muasisi wao.