Recent content by steven c

  1. S

    UDA yaingiza mabasi mapya 175 kuboresha huduma ya Usafiri Dar; kuongeza mengine 2,000 ifikapo Juni

    Mimi mwenyewe cyapend sana haya mabasi nafasi ya katikati ni nyembemba mno, sasa usiombe ikukute upo nyuma halafu gari limejaa na kuna vibonge katikati wamesimama na wewe upo nyuma kazi kupita, na pia mengine yana joto sana.
  2. S

    TFDA ichunguzeni dawa ya meno ya whitedent

    Wadau ni kweli mara nyingi mimi hali hiyo imenitoke sana hadi nikajihisi labd ni mimi tu, ila kwa sasa nimebadilish aina ya dawa na hainidhuru, dawa ya whitedent ina matatizo.
  3. S

    Kisiasa Nini Maana ya Uteuzi wa Paul Makonda Jana?

    Ili upate nafasi ya uongozi ndani ya ccm na serikalini kwa ujumla, lazima uwe mropokaji, ujue kutukana, uwe mjasiri, uwe mtu ambaye huna adabu. Mfano mzuri ni juma nkamia, mwiguru nchemba, na sasa ni huyo makonda
  4. S

    Wafanyakazi wa Dar kuandamana kushinikiza bei ya umeme kushuka!

    Tatizo watanzia tumezidi kuwa waoga, leo brazili wananchi wameandamana kupinga ongezeko la nauli
  5. S

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Bro inawezekana kukaa zaidi ya miaka ya nane kwani humuoni rais mgabe!!
  6. S

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr slaa ndigo raisi, raisi wa kutogomboa na umaskini katu hawezi toka ccm tena chama chenye makundi, akiingia ndi yale yale kulindana, kuiba pesa ili kulipa fadhila wa wahisan wake wanaomchangia, umasikini utaendelea,ufisadi utaendelea kama kawaida sababu yeye ndiyo muasisi wao.
  7. S

    Mabasi yaendayo kasi yaanza kupasha joto misuli jijini Dar

    Jamani, mbona tunakuwa cyo wafuatiliaji wa mambo? Serikali ilitangaza kuwa haya ni mabasi madogo makubwa bado kufika, hayo mabasi makubwa ni kama yale ya euro 5 bus, yagoogle uyaone
  8. S

    East Africa: EA Single Tourist Visa Announced At World Travel Market in London

    Hapo njia ya kuwakomoa hao wenzetu ni wakati sasa wa idara zetu za utalii kujitangaza kwa kwenye world travel market na kueleza umuhimu wa watalii kuja tanzania na kuweza kuona vivutio vyote vilivyopo afrika mashariki na ambavyo havipo sehemu yoyote pale duniani, na njia nyingine ya kuvutia...
  9. S

    NAFASI MPYA ZA KAZI,tembelea www.ajira.go.tz

    Kama cmu yako haina uwezo wa kufungua pdf, i download pdf kwenye google kisha instal itakuwa inafungua
  10. S

    Smartphones Power Bank for only tshs 35,000/=

    Dar unakuja lini ili nikutafute kwa kutumia namba yako? Au nielekeze ofisi yako ilipo kinondon sehemu gani
  11. S

    Billionaires wa tanzania

    Mabilionea wanaotajwa kwa afrika wengi wao wapo dar, na siyo huko arusha wala mwanza, mengi, rostam, bakhresa, dewj, mafuru, na wengineo
  12. S

    Wakazi wa Iringa waendelea kuikataa CCM waziwazi...

    Kweli chama kimezeeka, halafu mbona wengi wao ni wazee tu waliohuzuria? Hadi huruma mtu kuangalia?
  13. S

    Tunawaza sana mpaka Mabichwa yanaongezekana Upana.....MAJOBLESS....!!!!

    Mtaani kulivyo kugumu inafikia kipindi hata mtu anayechoma maindi au kuuza karanga unamsifia kuwa kazi yake nzuri, sababu ya kipato anachokipata ile hali wewe hata sh 100. Hauipati.
  14. S

    Zanzibar wametoa wapi pesa za kununua hiki Kifaru?

    Mtu mwenywe anashangaa kifaru hicho ni dhahiri havijui vifaru vikubwa na vya gharama,
Back
Top Bottom