serikali moja tuu ndo wananchi wakawaida tutanufaika sana huku kwenda zenji kwa passport na ukuchukua gari zenji ukifika bandarini ulipie ushuru kama kwamba umetoka nalo moja kwa moja Dubai mimi siungi mkono. nataka serikali moja tuuuu.
Kwa vile tulikubali kuungana na kupoteza hadhi ya mataifa yetu ya Awali tangu 1964 mf. Tanganyika kuwa kama nchi, solution ya kweli ktk hili na kuujenga zaidi muungano ni SERIKALI MOJA TU. Tatizo Wazanzibar kwa muda wote huo wamekuwa na hadhi kama nchi lakini hawaridhiki. Zaidi hapo Muungano utakufa kihoro kimnyakimnya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.