Recent content by Stevemike

  1. Stevemike

    Tundu Lissu afikishwa mahakamani, Mawakili wa Jamhuri waomba wakili wa Lissu awe shahidi wa Jamhuri

    Kwanza Lissu hamjui Mungu maana hana uvumulivu. In domodomo sana!!
  2. Stevemike

    Tundu Lissu afikishwa mahakamani, Mawakili wa Jamhuri waomba wakili wa Lissu awe shahidi wa Jamhuri

    Usitudanganye, were in mfuasi kabisa wa chama husika. Maneno yako yanakuonyesha wazi.
  3. Stevemike

    Tanzania ikifunga mpaka wa Namanga na Taveta-Holili, hakika watakiri kuwa Kilimanjaro ipo Tanzania

    Mimi nadhani njia nzuri ni sisi kuutangaza mlima wetu na sio kunyamaza na kusubir
  4. Stevemike

    Masikini Babu Seya, hali yake kiafya yawa mbaya apelekwa Muhimbili

    Jamani Raisi Magufuli atumie mamla aliyonayo kumwacha huru!
  5. Stevemike

    Tetesi: Kangi Lugola Amewekewa Pingamizi

    Kuna tetesi kuwa mbunge wa jimbo la Mwibara anayetetea nafasi yake kwa tiketi ya ccm mh. Kangi Lugola amewekewa pingamizi ingawa ameshinda kwa kishindo kikubwa sana kura za maoni. kama kuna mtu anayejua kwa undani zaidi atujuze wana jf.
  6. Stevemike

    Watuhumiwa watano wa tukio la Stakishari watiwa mbaroni

    Nakubaliana na wewe ndugu yangu. hawa si majambazi wa kawaida. hawa ni magaidi. kuna jambo nyuma ya pazia. inabidi serikali yetu isilale ili sisi walala hoi tuwe salama.
  7. Stevemike

    Watuhumiwa watano wa tukio la Stakishari watiwa mbaroni

    Majina yao yananipa wasiwasi. hawa ni magaidi si majambazi. kwa nini ni walewale ndugu zetu.
  8. Stevemike

    Nani Ana Haki Hapa?

    Kwa hiyo ndugu fugees, waumini hawa wana uwezo wa kufanya ibada kwenye jengo hili maadam mwenye kiwanja hana shida nao chini ya dhehebu b bila kubugudhiwa na na uongozi wa juu wa dhehebu a?
  9. Stevemike

    Mwana mpotevu nimerudi jamani

    miss judith hayupo tena! yu wapi? au una maana gani?
  10. Stevemike

    Nani Ana Haki Hapa?

    dhehebu a hawakufanya lolote. muumini mwenye kiwanja ndiye ana hata ya kijiji inayomtaja yeye na sio dhehebu a. viongozi wa dhehebu a hawana document yoyote kuhusiana na eneo hilo. je, dhehebu a wana haki kisheria kudai jengo hilo?
  11. Stevemike

    Nani Ana Haki Hapa?

    Waumimi wa dhehebu A(jina limehifadhiwa) walijenga jengo la ibada kwenye kiwanja cha mmoja wa waumini. imefikia hatua wameamua wote kuhamia dhehebu (b) akiwemo na mwenye kiwanja. Viongozi wa juu wa dhehebu (a) wanadai kama wamebadili dhehebu watoke kwenye jengo hilo maana ni mali ya dhehebu...
  12. Stevemike

    Mwana mpotevu nimerudi jamani

    Tokea kipindi cha mjadala wetu wa babu wa Loliondo, nimekuwa kimya sana mpaka leo hii nimeamua kurudi JF. Mnanipokea? Nawakumbuka watu kama miss judith. jamani mpooo?
  13. Stevemike

    Mechi ya Kilimanjaro Stars dhidi ya Harambee Stars ni saa ngapi?

    Tangu jana wapenzi wa mpira tulijua mechi hii inachezwa saa nane kamili. Mpaka sasa hatuoni kinachoendelea. Utachezwa muda gani? Mnisaidie ndugu zangu.
  14. Stevemike

    "Abiria chunga mzigo wako" hii kweli ni kazi ya abiria?

    Ukiingia ndani ya basi unaweza ukakutana na maandishi, "abiria chunga mzigo wako". Na katika tiketi pia utakutana na mwandishi hayohayo na wanaongeza kuwa kampuni haitahusika na upotevu wowote wa mzigo. Nauliza, hii kweli ni kazi ya abiria? Vipi juu ya mizigo iliwekwa na konda kwenye buti? Mzigo...
Back
Top Bottom